Kuna wanaume hawana akili kabisa aisee

Kuna wanaume hawana akili kabisa aisee

Umenikumbusha Temeke miaka ya 1990s. Utakuwa unaishi Uswahilini, ehe?
Mkuu mimi sjamla, pale kamla mmoja tena kwa mazoea yake ya ajabu.

Kuna jamaa pale ni mkaguzi kutoka office ya NAO(mkaguzi mkuu wa serikali) nae pia ni mtu wa safari huyu mwanamke akamuomba ufunguo ili wadogo zake wawe wanamfanyia usafi wa nyumba na nguo sijui walianzia wapi mpaka wakafika huku, jamaa akawapa , jamaa akawa anapelekewa hadi chakula akiwa yupo, kumbe ilikuwa ni target awe kwenye mahusiano na mdogo mtu, Jamaa akajiongeza, Akala mdogo mtu, mkubwa na yeye mwenyewe kila mtu kwa wakati wake.
 
My brother nikuambie kitu..

Sisi binadamu tunapendaa vitu tofauti na ndo maana hata maisha yetu yako tofauti.

Huyo kaka Hana tatizo na ndomaana yuko na mkewe mbaka hii leo. Ila wewe ndo una tatizo kwanini uone mapungufu ya mwanamke ambaye sio wako.

Inaingia vipi akilini kusema Hana akili ?

Kwa kuwa mkewe analiwa?

Kwa kuwa mkewe kamkuta na watoto kashazaa!?

Mwanamke au mwanaume kuchepuka ni hulka binafsi.. jamaa akili anazo ndo maana hajajua mkewe analiwa kisela mtaani.
Niwew nin huyo jamaa
 
Mbona inaonekana wewe ndo huna akili? Acha kufatilia maisha ya watu mtoto wa kiume...

Umeandika kikike kike sana.. eti jamaa ana hela, vip unazitamani?
 
Mbona inaonekana wewe ndo huna akili? Acha kufatilia maisha ya watu mtoto wa kiume...

Umeandika kikike kike sana.. eti jamaa ana hela, vip unazitamani?
Nasikitika kwamba siwezi kukujibu,kwa sababu huna hoja na zaidi inaonekana ni aina ya watu mnaopelekeshwa na wanawake.

mimi najibishana na wanaume mkuu tena wenye kujielewa na kwa hoja sio matusi, maana matusi huwa ni silaha ya WAPUMBAVU
 
Ukiona mtu anaoa mwanamke aliemzid umri plus ana watoto ujue huyo keshashindwa maisha na
 
Mimi nimepiga marufuku ndugu zangu kuja kwangu na yeye kajiojgeza haleti ndugu zake, haijalishi ni nani kila mtu ana kwake akae kwake,
Ndugu hawawezi kumchunga mkeo asichepuke, kama anajielewa haijalishi uhuru alionao
 
Mkuu huyo jamaa kabila gani na huyo mke wake kabila gani???...Kuna kautafiti nakafanya.. Hizo taarifa zinaweza kuwa msaada kwangu
 
Mimi nimepiga marufuku ndugu zangu kuja kwangu na yeye kajiojgeza haleti ndugu zake, haijalishi ni nani kila mtu ana kwake akae kwake,
Ndugu hawawezi kumchunga mkeo asichepuke, kama anajielewa haijalishi uhuru alionao
Ishu sio kumchunga, then unasema kwamba wewe hutaki aina yoyote ya ndugu waje kwako?
Vipi wewe unaenda kwao kuwatembelea hao ndugu?
 
Nianze na samahani maana najua mtakasirika.
"Hivi kuna wanaume mwenye akili mbele ya mwanamke/mkewe?" Zaidi ya kupelekwapelekwa!!??
Sana sana ni kuvimba mbele ya wanaume wenzie
 
Back
Top Bottom