Mmojawao ni Mimi. Yaani nakuambia nilitahiriwa bila ganzi halafu kisu cha mtahiri kilikuwa butu. Imagine!Kuna Wamasai ambao bado wanatahiriwa bila ganzi mpaka nyakati hizi?
Kama wapi hao hawawezi kutishika na vitisho vya Sheikh Mwaipopo vya kutahiri watu bila ganzi.
Wapo sanaKuna Wamasai ambao bado wanatahiriwa bila ganzi mpaka nyakati hizi?
Kama wapi hao hawawezi kutishika na vitisho vya Sheikh Mwaipopo vya kutahiri watu bila ganzi.