Ni yale yale ya Popobawa kuonekana mbagala tena kwa mama muuza vitumbua (si kwa CEO wa TBL). Adui mkubwa wa maendeleo ni UJINGA. Angalia composition ya watu wanaoshadidia haya mambo yasiyokuwa na proof yoyote. SAWA freemasons, so what? ingekuwa wale wote wanaofanya mambo ya hovyo hovyo kama kuua albino, kuliibia taifa na mambo yaliyo ya hatari kwa ustawi wa jamii yetu wanayafanya hivyo ili kukidhi matakwa ya freemasons ingekuwa issue. Sawa neno freemason lipo na pengine wapo, kwa hiyo? Vijana chapeni kazi.