Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
nacheka kama mazuri, sasa huyo hata ndizi za Mia 2 hawezi nunua akaja nazo nyumbani wanakuwaga wabahili hao!Mwingine aliniuzi sana alikunywa chupa nzima ya chai ya maziwa na mkate nzima mdogo kisa hajawahi kula mkate wa karanga eti ni mtamu sana.