Na mm nashangaa. Kama wao wajinga wewe ni mbumbumbu x 4Preach what you do.Wewe umeajiriwa unakuwa hauna credibility ya kuwashauri wajiajiri.
Hapo sasa uwaambie mada za kula mbususu na kuhonga uone response yao
Ebu lete mchanganuo wa hiyo idea kwanzaInawezekana una wazo zuri ila wameona huna nia njema labda umewaonyesha tabia za kuwaona wanakukombea mboga hapo kazini ndo maana wameruka mtego