BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,045
- 10,476
Unafiki. Ni hali ya mtu kutenda au kuongea maneno tofauti na yale anayowaza akilini. Kama vile kusema jambo fulani ni zuri ilihali nafsini mwake anajua ni baya.
Nchi hii wanaweza kusema wanakuchukia na kukutukana kila kona kumbe ukweli ni kuwa wanakupenda sana ila wanaona aibu kuonyesha hisia zao matukio yanayoendelea yanazidi kudhihirisha unafiki uliopo.
1. Corona
2. Makinikia
3. Kesi za kisiasa
4. Mapato na matumizi
Nchi hii wanaweza kusema wanakuchukia na kukutukana kila kona kumbe ukweli ni kuwa wanakupenda sana ila wanaona aibu kuonyesha hisia zao matukio yanayoendelea yanazidi kudhihirisha unafiki uliopo.
1. Corona
2. Makinikia
3. Kesi za kisiasa
4. Mapato na matumizi