Kuna uwezekano wa msaada matibabu ya kansa ya kichwa?

Bingili

JF-Expert Member
Nov 4, 2019
266
698
Wakuu napitia mtihani mgumu sana maishani mwangu,

Mke wangu amegundilika ana uvimbi wa kansa kwenye ubongo unaokua kwa kasi sana na kupelekea macho kupishana maumivu yasio isha ya kichwa, kutapika kila akila chakula, kukosa balansi ya mwili na usikivu hafifu

Hadi sasa nimekwisha tumia zaidi ya sh milioni 6 kwa ct scan, mri, na operation ndogo ya kupinguza maji kwenye ubongo.

Nimeletewa bili kabla ya matibabu ya upasuaji wa kuondoa uvimbe na recovery zake naona gharama imekua kubwa sana inakimbilia kwenye milioni 20+.

Nimefika mwisho wa kujitutumia na familia yangu nikaona nije jukwaani kuuliza kama kuna namna yoyote naweza kupambana serikalini au taasisis yoyote ile nikapata msaada.

Natanguliza shukrani
 
Wakuu napitia mtihani mgumu sana maishani mwangu
Mke wangu amegundilika ana uvimbi wa kansa kwenye ubongo unaokua kwa kasi sana na kupelekea macho kupishana maumivu yasio isha ya kichwa...
Pole sana kaka...Mungu akutie nguvu! Mungu amponye
 
Pole Sana Mkuu
Nakushauri Umpeleke Ocean Road Hospital
Nina Ndugu Yangu Anaumwa Kansa February 2022
Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC)
WALIMKATA Titi Baadaye Akaruhusiwa Kurudi Nyumbani
West Kilimanjaro


Akaambiwa Lazima Aende Dar Es Salaam Kwaajili Ya Mionzi Kidonda Kiweze Kupona. Akafanya Hivyo Gharama Kwenye Dawa Zikawa Kubwa.

Akaambiwa Aende Serikali Ya Mtaa Aandikiwe Barua Aweze Kulipa Nusu Ya Gharama Za Dawa

Ametoka Dar Mwezi Huu
 
Pole Sana Mkuu
Nakushauri Umpeleke Ocean Road Hospital
Nina Ndugu Yangu Anaumwa Kansa February 2022
Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC)
WALIMKATA Titi Baadaye Akaruhusiwa Kurudi Nyumbani
West Kilimanjaro


Akaambiwa Lazima Aende Dar Es Salaam Kwaajili Ya Mionzi Kidonda Kiweze Kupona. Akafanya Hivyo Gharama Kwenye Dawa Zikawa Kubwa
Akaambiwa Aende Serikali Ya Mtaa Aandikiwe Barua Aweze Kulipa Nusu Ya Gharama Za Dawa

Ametoka Dar Mwezi Huu

Nashukuru kwa ushauri mkuu

Sisi tumelazwa hapa Muhimbili (MOI)

Nitafuatilia
 
Wakuu napitia mtihani mgumu sana maishani mwangu,

Mke wangu amegundilika ana uvimbi wa kansa kwenye ubongo unaokua kwa kasi sana na kupelekea macho kupishana maumivu yasio isha ya kichwa, kutapika kila akila chakula, kukosa balansi ya mwili na usikivu hafifu

Hadi sasa nimekwisha tumia zaidi ya sh milioni 6 kwa ct scan, mri, na operation ndogo ya kupinguza maji kwenye ubongo.

Nimeletewa bili kabla ya matibabu ya upasuaji wa kuondoa uvimbe na recovery zake naona gharama imekua kubwa sana inakimbilia kwenye milioni 20+.

Nimefika mwisho wa kujitutumia na familia yangu nikaona nije jukwaani kuuliza kama kuna namna yoyote naweza kupambana serikalini au taasisis yoyote ile nikapata msaada.

Natanguliza shukrani

Pole kwa kuuguliwa.
Tiba inawezekana kwa kuzingatia, aina ya kansa, stage na umri wa mhusika. Pia , ukizingatia na viambata vingine vya hali ya jumla ya afya ya mhusika.

Tathmini ya daktari aliyebobea kwenye magonjwa haya huweza kutoa mwelekeo. Hivyo, ni vizuri kuwahusisha hao.
 
Wakuu napitia mtihani mgumu sana maishani mwangu,

Mke wangu amegundilika ana uvimbi wa kansa kwenye ubongo unaokua kwa kasi sana na kupelekea macho kupishana maumivu yasio isha ya kichwa, kutapika kila akila chakula, kukosa balansi ya mwili na usikivu hafifu

Hadi sasa nimekwisha tumia zaidi ya sh milioni 6 kwa ct scan, mri, na operation ndogo ya kupinguza maji kwenye ubongo.

Nimeletewa bili kabla ya matibabu ya upasuaji wa kuondoa uvimbe na recovery zake naona gharama imekua kubwa sana inakimbilia kwenye milioni 20+.

Nimefika mwisho wa kujitutumia na familia yangu nikaona nije jukwaani kuuliza kama kuna namna yoyote naweza kupambana serikalini au taasisis yoyote ile nikapata msaada.

Natanguliza shukrani
Kakate bima kubwa ya NHIF upunguze maswahiba ya kulipia Kila kitu

MOI wanafanya upasuaji huo
 
Kakate bima kubwa ya NHIF upunguze maswahiba ya kulipia Kila kitu

MOI wanafanya upasuaji huo

Mkuu bima ipo lakini kiwango kimekwisha zidi

Kabla hatujajua tatizo tayari ilikua imekwisha tumika zaidi ya ml 3 tayari
 
Marehemu mama yangu alipata huo ugonjwa. Mpaka apollo alitibiwa lakini hakufanikiwa kupona.
Daktari alituambia ukweli kwamba tunachofanya sisi ma dr ni kuongeza siku zake za kuishi. Ila kupona haiwezekani.. alifariki miaka 12 mbele baada ya surgery kubwa mbili na kuchomwa mionzi mara kadhaa
 
Pole kwa kuuguliwa.
Tiba inawezekana kwa kuzingatia, aina ya kansa, stage na umri wa mhusika. Pia , ukizingatia na viambata vingine vya hali ya jumla ya afya ya mhusika.

Tathmini ya daktari aliyebobea kwenye magonjwa haya huweza kutoa mwelekeo. Hivyo, ni vizuri kuwahusisha hao.

Mkuu tatizo kubwa ni gharama. Tiba ipo na nafasi ya kupona ni kubwa sana tu

Bima imefikia ukomo na hela inayohitajika ni ndefu sana kufanya upasuaji wake

Hap nuliza kama kuna namna yoyote kuweza kupata msaada serikalini au taasisi yoyote
 
Mkuu tatizo kubwa ni gharama. Tiba ipo na nafasi ya kupona ni kubwa sana tu

Bima imefikia ukomo na hela inayohitajika ni ndefu sana kufanya upasuaji wake

Hap nuliza kama kuna namna yoyote kuweza kupata msaada serikalini au taasisi yoyote

Bima gani unatumia?
 
Nipe info zao mkuu

Waganga wa kienyeji ama watu wa tiba asili ni wapigaji.. wao wanawaza kupata hela kupitia shida zako.

Matibabu dunia nzima za ugonjwa wowote yanafata standard treatment procedures za huo ugonjwa. Na wakikosea kuna sheria ya kuwawajibisha. Je watu wa tiba asili ama waganga wa kienyeji wakikutapeli utalalamikia wapi?

Kansa isumbue wazungu huko halafu mpuuzi akudanganye ana dawa shida ni chakula tu.

Profesa maji marefu mganga mashuhuri tanga. Yeye mwenyewe alipoumwa alienda kutibiwa muhimbili hospitalini na apollo india mpaka akafariki.

Jiulize Why hakwenda kwa waganga wenzake

Ustadhi na mganga maarufu sheikh shariffu majini.. yeye mwenyewe alilalamika kuibiwa kura kwenye uchaguzi wa wajumbe wa ccm. Why uganga wake ama majini yake yasimlindie kura zake.

Watu wa tiba asili ni matapeli tu
 
Mkuu tatizo kubwa ni gharama. Tiba ipo na nafasi ya kupona ni kubwa sana tu

Bima imefikia ukomo na hela inayohitajika ni ndefu sana kufanya upasuaji wake

Hap nuliza kama kuna namna yoyote kuweza kupata msaada serikalini au taasisi yoyote

Kuna utofauti wa top-up ya MNH Vs Ocean Road. Hivyo, kuna baadhi ya matibabu yanaweza kufanyika MNH kwa issue ya technology na uwezo mwingine na mengine kumaliziwa Ocean Road ili kupunza gharama.
Unaweza kuliangalia kwa mtizamo huo pia.
 
Wakuu napitia mtihani mgumu sana maishani mwangu,

Mke wangu amegundilika ana uvimbi wa kansa kwenye ubongo unaokua kwa kasi sana na kupelekea macho kupishana maumivu yasio isha ya kichwa, kutapika kila akila chakula, kukosa balansi ya mwili na usikivu hafifu

Hadi sasa nimekwisha tumia zaidi ya sh milioni 6 kwa ct scan, mri, na operation ndogo ya kupinguza maji kwenye ubongo.

Nimeletewa bili kabla ya matibabu ya upasuaji wa kuondoa uvimbe na recovery zake naona gharama imekua kubwa sana inakimbilia kwenye milioni 20+.

Nimefika mwisho wa kujitutumia na familia yangu nikaona nije jukwaani kuuliza kama kuna namna yoyote naweza kupambana serikalini au taasisis yoyote ile nikapata msaada.

Natanguliza shukrani
Pole Sana mkuu, hospital si huwa kuna kitengo Cha ustawi wa jamii kusaidia walioshindwa ghalama za matibabu nasikia
 
Back
Top Bottom