Shanley
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 380
- 157
Je wewe ni muhanga wa kufungiwa kutumia WhatsApp ?
Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban? Unafanyaje kujiondoa?? Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii inakutokea kwa sababu
umevunja sheria na taratibu za Whatsapp ndo maana umefungiwa
namba yako kutumia Whatsapp.
Kuna aina mbili za kufungiwa kwenye Whatsapp
(1) temporary (2) permanent
1 Temporary
Kawaida unafungiwa kuanzia nusu saa, 1hr,2hr, 8 mpaka 24hrs. Ila baada siku au masak kadhaa unarudishiwa akaunti yako na kuendelea kutumia kama kawaida.
2 Permanent
Hii ikikutokea bhana daah inabidi ufanye kazi kidogo maana huwa unafutiwa chati zako, alafu ukijiunga unakua kama unaanza upya vile maana unaondolewa kwenye ma groups yote uliyokuwepo kwenye Whatsapp.
Sababu Gani wanakufungia;
kutuma sms nyingi kwa watu kwa wkati mmoja
kutuma sms inayojirudia rudia kila mara ndani ya kipind kifupi
kutumia app zingine za Whatsapp gb, fm nk
kutengeneza ma groups mengi ya Whatsapp ndani ya muda mfupi
kutuma link zisizo salama kwa watu
kupigwa block na watu wengi inaonekana sio mtu mzuri kwenye jamii.
Jinsi ya kunondokana Permanent Ban
Kwanza tumia Whatsapp official toka soko la play store alafu ukimaliza Sasa inabidi ufanye mambo yafuatayo ili kuwa salama
Kama umepigwa Whatsapp Permanent Ban fanya hivi chukua hii email ya support@whatsapp.com
Kisha fungua email yako usitumie email hii support@smb.whatsapp.com haifanyi kazi utakesha.
Fungua email yako kisha andika kuwa unajua umekosa kuwa uliweza kufanya jambo ambalo ukutegemea kama utafungiwa akaunti yako kisha tumia hii email kuwatumia changamoto yako support@whatsapp.com
Baada ya saa 4 mpaka 24hrs pia unaweza kupelekwa ata siku mbili tatu kuweza kufunguliwa akaunti yako hakikisha unaweka na namba ya simu ambayo imefungiwa kutumia Whatsapp.
Jitahidi kutumia official Whatsapp ni salama kwako kuliko Gb
Whatsapp?? Vipi wewe ukipigwa banned unafanya kitu Gani tuachie.
Email hakikisha iko hivi;
1. Lugha iliyonyooka (Kiingreza safi siyo cha Rasi Simba)
2. Uanze kwa kuwashukuru, Mfano “ I real Appreciate how WhatsApp boosted my small business…….”
3. Waambie ulikuwa huzifahamu vizuri “Sheria na Sera zao” lakini sasa wazijua
4. Hivyo Hutarudia Makosa
5. Omba wakufungulie Account yako
6. Kwa sababu ndo unaitegemea kwenye Biashara zako ndogo
Weka Namba zako na usisahau kuweka +255
Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban? Unafanyaje kujiondoa?? Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii inakutokea kwa sababu
umevunja sheria na taratibu za Whatsapp ndo maana umefungiwa
namba yako kutumia Whatsapp.
Kuna aina mbili za kufungiwa kwenye Whatsapp
(1) temporary (2) permanent
1 Temporary
Kawaida unafungiwa kuanzia nusu saa, 1hr,2hr, 8 mpaka 24hrs. Ila baada siku au masak kadhaa unarudishiwa akaunti yako na kuendelea kutumia kama kawaida.
2 Permanent
Hii ikikutokea bhana daah inabidi ufanye kazi kidogo maana huwa unafutiwa chati zako, alafu ukijiunga unakua kama unaanza upya vile maana unaondolewa kwenye ma groups yote uliyokuwepo kwenye Whatsapp.
Sababu Gani wanakufungia;
kutuma sms nyingi kwa watu kwa wkati mmoja
kutuma sms inayojirudia rudia kila mara ndani ya kipind kifupi
kutumia app zingine za Whatsapp gb, fm nk
kutengeneza ma groups mengi ya Whatsapp ndani ya muda mfupi
kutuma link zisizo salama kwa watu
kupigwa block na watu wengi inaonekana sio mtu mzuri kwenye jamii.
Jinsi ya kunondokana Permanent Ban
Kwanza tumia Whatsapp official toka soko la play store alafu ukimaliza Sasa inabidi ufanye mambo yafuatayo ili kuwa salama
Kama umepigwa Whatsapp Permanent Ban fanya hivi chukua hii email ya support@whatsapp.com
Kisha fungua email yako usitumie email hii support@smb.whatsapp.com haifanyi kazi utakesha.
Fungua email yako kisha andika kuwa unajua umekosa kuwa uliweza kufanya jambo ambalo ukutegemea kama utafungiwa akaunti yako kisha tumia hii email kuwatumia changamoto yako support@whatsapp.com
Baada ya saa 4 mpaka 24hrs pia unaweza kupelekwa ata siku mbili tatu kuweza kufunguliwa akaunti yako hakikisha unaweka na namba ya simu ambayo imefungiwa kutumia Whatsapp.
Jitahidi kutumia official Whatsapp ni salama kwako kuliko Gb
Whatsapp?? Vipi wewe ukipigwa banned unafanya kitu Gani tuachie.
Email hakikisha iko hivi;
1. Lugha iliyonyooka (Kiingreza safi siyo cha Rasi Simba)
2. Uanze kwa kuwashukuru, Mfano “ I real Appreciate how WhatsApp boosted my small business…….”
3. Waambie ulikuwa huzifahamu vizuri “Sheria na Sera zao” lakini sasa wazijua
4. Hivyo Hutarudia Makosa
5. Omba wakufungulie Account yako
6. Kwa sababu ndo unaitegemea kwenye Biashara zako ndogo
Weka Namba zako na usisahau kuweka +255