🧐🤓😎🥸😳Maneno Matamu Sitayasema Mimi Kwenye Utawala WanguUnataka tukwambie Nini.
Changamoto za kikazi ndugu japo uko sahihi piaUshasema mara nyingi mnakuwa mbali na unajua mapenz ya mbali ni uongo maana hata wewe lazima unacheat huko so kama umeamua kuwa na ndoa ya kuishi mbali mbali usilalamike kusaidiwa ye nae binadam ana nyege
Kama unataka awe mwaminifu ishi nae
Sikuwa ku doubt ata siku moja ndugu yangu ndio maana..Yani na unapata ujasiri wa kuja JF kuomba ushauri wakat mke wako anagawa papuchi?
just imagine KUTOMBEWA mke -
like serious hujui cha kufanya mwanaume mwenzetu
mimi nilishaaap kuwa mke wangu akinisaliti sitoangalia tuna miaka mingap ndo itakuwa mwisho wetu.
wale wenye ndoa za roma za kuvumilia mpka mmoja afe zilitungwa mwaka 1906 wakati huo wanawake wanaolewa mabikra - sasa hv wanawake wanaolewa single mothers
Ni hatariMaamuzi unayo wewe maana umeshajua unapigiwa,
1. Kuna wanao endelea na hayo mahusiano Kama hakijatokea kitu.
2. Kuna ambao mahusiano yanaishia hapo.
Note:
Mwanamke akichepuka huko akiwa anabanduliwa huwa anatumia staili ambazo hakupi wewe Maana utamuona hana nidhamu,
mfano
Ukitaka dogy style anaweza akagoma kukupa wewe akisingizia amechoka au anaumiaga ila akiwa na Baba naniii..
hatoi excuse yeye anatega mbususu inapigwa from the back.
nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja
Hii lugha hii.....Just a begging bitch each all he's going to listen about.
Lakini huyu hajamwoa....Sheria ya ndoa useme kuwa kupima HIV iwe ni kila mwezi kwa wanandoa
Una swipe tuu ....mzigo huoWadada wa siku hz password ya simu NI ngumu kweli kweli lakin ya chini huko NI swipe left ujipigie .
Zalisha kula Kona kaka![]()







Mimi sina jibu.Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali
Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe"
"For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..
Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!
Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?