Kuna usalama hapa ndugu zangu?

Kuna usalama hapa ndugu zangu?

Miaka sita mnadunguna tena mkiwa mbalimbali....


Shukuru hata anakuheshimu!!!
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali.

Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe" "For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..

Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!

Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?
In short unagongewa..
Mpe nafasi ya kuelezea ili upate taarifa kamili.

Lakini kama huna mpango wa kuachana naye, wala usifukunyue mavitu uje uishie kutamka kuwa unamuachia Mungu. Muachie sasa kwenye steji ya uchunguzi
 
Ushawahi kumnyima pesa Huyo Dada kwa kumwambia Sikupi, Ilikuaje?
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali.

Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe" "For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..

Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!

Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?
Mpaka ili usaidiwe, kiufupi mke wako aliliwa, analiwa, na ataendelea kuliwa na huyo mkulungwa.
 
Maamuzi unayo wewe maana umeshajua unapigiwa,

1. Kuna wanao endelea na hayo mahusiano Kama hakijatokea kitu.
2. Kuna ambao mahusiano yanaishia hapo.

Note:
Mwanamke akichepuka huko akiwa anabanduliwa huwa anatumia staili ambazo hakupi wewe Maana utamuona hana nidhamu,

mfano
Ukitaka dogy style anaweza akagoma kukupa wewe akisingizia amechoka au anaumiaga ila akiwa na Baba naniii..
hatoi excuse yeye anatega mbususu inapigwa from the back.
maelezo ya ukweli yenye kuumiza...
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali.

Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe" "For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..

Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!

Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?
Yaan wanaume bwanaa..afu ukute wewe ndio sababu ila ndo hujui..we kaa nae msikilize tena mkumbatie afu muulize shida nnn.
Ila kama ashaeka sugu ndo basi tena we kubali kushare mana hatabadilika milele.
 
Yaan wanaume bwanaa..afu ukute wewe ndio sababu ila ndo hujui

Huu binafsi huwa sikubaliani nao,, Yaaani mtu akatoa uchi wake aliwe huko then baadae uje useme sababu ni mwanaume..??? are you serious??

Hayo ni maamuzi yake tu,,kaamua kutoa uchi na wala hamna reason nyingine
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali.

Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe" "For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..

Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!

Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?
Msikilize mzee kaa naye msuluhishe ,Ila ukisikiliza ya watu utapotea
 
Ukitaka endelea nae watakatifu hawapo sikuhiz
Kwenye relationship ukiwa na doughnuts za dizain hizo kuendelea inahitaji neema ya MUNGU hasa kwetu sisi wanaume .... bora ingekuwa kwa ishu nyingine ila siyo kwa hii ... nakazia hapo hana chake tena
 
Mpaka ili usaidiwe, kiufupi mke wako aliliwa, analiwa, na ataendelea kuliwa na huyo mkulungwa.
Kama ni mimi kwa ushahidi huo mara moja napiga chini, mengineyo ya kudanganyana eti kaeni chini muyamalize kwani huwa mnakaa juu ? Ukiwa hujiheshimu inamaana hufundishiki na hiyo si bahati mbaya ni tabia yako
Njia nzuri na bora sana ni kupiga chini tu, yaani achaneni kwa salama na amani
 
nawewe ulifuata nini kwenye simu ya mkeo? uliyataka mwenyewe yani unakuala jalalani then unataka ukapime kipindupindu? mambo mengine mnajitakia tu, kwa ufupi anagegedwa tena sana tu ndio maana wanawekeana mikakati ya jinsi ya ku ku fool.
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamvi, nina mke japo hatujafunga ndoa na tuna miaka kama sita tukiwa pamoja japo nikiri muda mwingi tunaishi mbali mbali kwa sababu mbali mbali.

Siku moja nikaona screenshot ya conversion aliyokuwa anachat na mtu(mwanaume), jamaa anamuuliza vitu gani vya kupunguza? Bi dada anajibu"mfano tunawasiliana sana akiwepo do you think itakuwa sahihi ebu niambie na wewe" "For me ukiwa na mama flan sitotaka simu za usiku sintotaka aumie au sitotaka niwagombanishe" jamaa akajibu sawa..

Mimi ikabidi nimuulize baba flan unamjua akabisha katakata, nikamtumia screenshot akasema atanielezea hiyo conversion nikamwambia sihitaji maana kasema hamjui!

Ndugu zangu huyu mwanamke sijawahi kumdoubt kwa lolote ila hilo nimeshtuka kidogo... ushauri wenu wadau nimsikilize au niconclude kuwa hapa hamna usalama?
Unauliza makofi polisi au maembe kibada🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom