Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Webb

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
425
Reaction score
884
Wakuu naomba kuuliza hivi humu JamiiForums kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba. Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.

Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa. Lakini kila siku zinavyosogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.

Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.

Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazoota.
 
Wakuu naomba kuuliza hivi humu jamiiforum kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba.Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.

Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa.Lakini kila siku zinavyo sogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.

Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.

Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazo ota.

Mkuu Usipoiba kwa kipindi kilichobaki Haki ya Mungu sikudanganyi ... Labda ukatoe kafara
 
Huo umri wasomi wapo shule, ila wajanja wa mitaa wanamiliki hivyo vitu. ..na wanaona ni kawaida sana kumiliki...hakuna shidaa...hata mm vipo....kuviona na kuvitumia ni bure...vigezo na masharti kuzingatiwa
Na hio 25yrs ndio umri sahihi wa kumiliki hizo Mali....otherwise jitafakari!!!
 
Back
Top Bottom