Kuna ulazima gani mwanafunzi wa kidato cha pili kufanya mtihani wa Taifa???

Kuna ulazima gani mwanafunzi wa kidato cha pili kufanya mtihani wa Taifa???

Hivi ni kweli hakuna mitihani kidato cha 2??
 
Wapite tu...siku sijazo dunia inataka matokeo ya matendo sio makaratasi..
 
Kama taifa tunazidi kupotea siku hadi siku.. Bahati mbaya wanasiasa wameingilia mpaka elimu.
 
Mimi naona hakuna ulazima.

Halafu pia hata wakifanya wasirudie darasa.
Mitihani ni sehemu ya kupigia pesa.
Wale polisi wanaosindikiza, mkurugenzi wa wilaya na maafisa elimu huwa wanapatiamo pesa za kununulia IST. Mbuzi zinakula kwa urefu wa kamba. Mitihani ikifutwa itakuwa tabu kwa baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom