ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,338
- 15,067
Yaani MM unasema binadamu alitokana na nyani?
Unasema hivyo kwa lengo LA kupotosha watu au hata wewe mwenyewe huelewi maana ya evolution?
Mkuu unasema evolution ni imani? Hebu niambie ni imani ipi inayo exist kwa evidences na inayoruhusu kukosolewa?
Kwa mtazamo wako, masalia ya watu wa kale yaliyopatikana Africa kama vile fuvu la Olduvai yalitokea wapi?
Tatizo moja la hizo dini zenu ni kuwafanya watwana wa fikra.Kama ingekuwa ni Zimbabwe ndio wameikataa evolution sijui kama ungeanzisha huu uzi. Lakini kwa kuwa waturuki wameshafikiria kuikataa evolution, wewe unaona mawazo yao ni sawa.
Mimi nadhani ni wakati wa kuacha kudanganya watoto kuwa Mungu ndiye aliyetuumba.
Nadharia ya creationism imejaa uongo mtupu.Mfano ni inaposema mwanamke alitoka kwenye ubavu wa mwanamke ilihali ukweli ni kwamba mwanaume ndiye aliyetoka kwenye uke wa mwanamke.
Unasema hivyo kwa lengo LA kupotosha watu au hata wewe mwenyewe huelewi maana ya evolution?
Mkuu unasema evolution ni imani? Hebu niambie ni imani ipi inayo exist kwa evidences na inayoruhusu kukosolewa?
Kwa mtazamo wako, masalia ya watu wa kale yaliyopatikana Africa kama vile fuvu la Olduvai yalitokea wapi?
Tatizo moja la hizo dini zenu ni kuwafanya watwana wa fikra.Kama ingekuwa ni Zimbabwe ndio wameikataa evolution sijui kama ungeanzisha huu uzi. Lakini kwa kuwa waturuki wameshafikiria kuikataa evolution, wewe unaona mawazo yao ni sawa.
Mimi nadhani ni wakati wa kuacha kudanganya watoto kuwa Mungu ndiye aliyetuumba.
Nadharia ya creationism imejaa uongo mtupu.Mfano ni inaposema mwanamke alitoka kwenye ubavu wa mwanamke ilihali ukweli ni kwamba mwanaume ndiye aliyetoka kwenye uke wa mwanamke.