MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 321
- 534
Habari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio Mkristo nikajisemea moyoni nitalifanyia kazi nipate uhakika wa hili.
Kama ni kweli inakuaje wao kwa utajili walionao baada ya kutusaidia sisi tuna wasaidia wao?