Kuna ukweli kwenye hili?

Kuna ukweli kwenye hili?

RPM ikifika kuanzia 2500-3000 hapo utalia jinsi mafuta yanavyoisha kwenye tank.
Mimi huwa naenda nayo taratibu Sana Hadi ichanganye yenyewe
😁😁😁 zina hitaji adabu sana japo kuna muda ni ngumu sana kumaintain rpm chini ya mbili. Yan ngoma inakuambia kabisa endelea kukanyaga nikupe maajabu. Forester aisee ni moto hiz engine zake
 
😁😁😁 zina hitaji adabu sana japo kuna muda ni ngumu sana kumaintain rpm chini ya mbili. Yan ngoma inakuambia kabisa endelea kukanyaga nikupe maajabu. Forester aisee ni moto hiz engine zake
Hahahaha 😂😂😂😂😂 Mzee unaonekana ni MTU wa kumwaga Sana Moto....mwaka Jana nilifanya safari ndefu Sana na forester aisee kwakweli hizi gari utapenda zikiwa safarini hasa hizi zenye turbo ndiyo balaa zaidi..
Kuna sehemu nilikuwa naovertake kama ingekuwa naendesha Toyota nisingeweza , Ila Subaru ni kama UMEME Tu inanifanya nijiamini Sana nikiwa barabarani

Aliyebuni hizi mashine nampa kongole sana
 
Hahahaha 😂😂😂😂😂 Mzee unaonekana ni MTU wa kumwaga Sana Moto....mwaka Jana nilifanya safari ndefu Sana na forester aisee kwakweli hizi gari utapenda zikiwa safarini hasa hizi zenye turbo ndiyo balaa zaidi..
Kuna sehemu nilikuwa naovertake kama ingekuwa naendesha Toyota nisingeweza , Ila Subaru ni kama UMEME Tu inanifanya nijiamini Sana nikiwa barabarani

Aliyebuni hizi mashine nampa kongole sana
Siwezagi kua mnyonge road nikiwa na subaru. Ni mwendo wa ligi tu. Vijana wahame kwenye ma crown, wajarib na subaru wajionee
 
Back
Top Bottom