Kuna ukweli kwenye hili?

Kuna ukweli kwenye hili?

Sumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
7,030
Reaction score
6,275
Wazoefu mtusaidie kama kuna ukweli hapa. Naona wengi wamekubaliana naye.
IMG_9903.jpeg
 
Hapo vigezo vingi sana vya kuzingatia.

Mfano, aina ya gari.
BMW 320i ina cc 2000 na IST ina cc 1500 kauli yake itakua sio ya ukweli.

Pia aina ya uendeshaji.
Kama una accerelate fasta ata gari lenye cc ndogo litakua na ulaji mkubwa wa mafuta ila kama unakua gentle ata gari lenye cc kubwa litakua na ulaji mzuri.

Vingine ni kama mzigo (uzito), service history, nk.

Yaani kauli yake inaongeza maswali kuliko majibu.
 
Hapo vigezo vingi sana vya kuzingatia.

Mfano, aina ya gari.
BMW 320i ina cc 2000 na IST ina cc 1500 kauli yake itakua sio ya ukweli.

Pia aina ya uendeshaji.
Kama una accerelate fasta ata gari lenye cc ndogo litakua na ulaji mkubwa wa mafuta ila kama unakua gentle ata gari lenye cc kubwa litakua na ulaji mzuri.

Vingine ni kama mzigo (uzito), service history, nk.

Yaani kauli yake inaongeza maswali kuliko majibu.

Ahsante sana mtaalam.
 
Wazoefu mtusaidie kama kuna ukweli hapa. Naona wengi wamekubaliana naye.View attachment 3192091
Ukichukua IST ya cc1500 na Crown ya cc2500 halafu msafiri huku mmekomaa na mwendo 130kph kuna uwezekano mkubwa IST ikatumiq mafuta mengi.
Ukichukua hio hio IST na Crownmkatembea hPa mjini kwa misele ya kawaida au mkasafiri kila mru aende mwendo wake wa kawaida Crownni dhahiri itakula wese jingi.
Ila kwa cc1500 na cc2000 unaweza usione tofauti kubwa sana kama mwenye cc1500 ataendesha hovyo.
 
Ukichukua IST ya cc1500 na Crown ya cc2500 halafu msafiri huku mmekomaa na mwendo 130kph kuna uwezekano mkubwa IST ikatumiq mafuta mengi.
Ukichukua hio hio IST na Crownmkatembea hPa mjini kwa misele ya kawaida au mkasafiri kila mru aende mwendo wake wa kawaida Crownni dhahiri itakula wese jingi.
Ila kwa cc1500 na cc2000 unaweza usione tofauti kubwa sana kama mwenye cc1500 ataendesha hovyo.

Elimu nzuri sana hii. Kumbe hakuna hata maana ya kununua vigari vidogo bora tujifiche kwenye hizo 2000CC na kuendelea.
 
Elimu nzuri sana hii. Kumbe hakuna hata maana ya kununua vigari vidogo bora tujifiche kwenye hizo 2000CC na kuendelea.
Kama utanunua IST uiendeshe kama Crown,kwanza haitakuwa na maisha marefu na utatumia mafuta mengi.
Sometimes utumiaji mafuta kwa kiwango kikubwa inachangiwa na uendeshaji.
 
Mwaka Juzi nilisafiri na Toyota rumion ya CC 1500 kutoka DAR -DODOMA Huko njiani nilikweka mafuta tena kabla ya kufika dodoma hii ilitokana na acceleration kubwa hasa kwenye miinuko .
Acceleration ikiwa kubwa gari ya cc1500 inahangaika Sana engine
 
Kama utanunua IST uiendeshe kama Crown,kwanza haitakuwa na maisha marefu na utatumia mafuta mengi.
Sometimes utumiaji mafuta kwa kiwango kikubwa inachangiwa na uendeshaji.

Hivi Bongo kuna gari za CC 1800?
 
Mwaka Juzi nilisafiri na Toyota rumion ya CC 1500 kutoka DAR -DODOMA Huko njiani nilikweka mafuta tena kabla ya kufika dodoma hii ilitokana na acceleration kubwa hasa kwenye miinuko .
Acceleration ikiwa kubwa gari ya cc1500 inahangaika Sana engine

Kama ni hivi naona bora hata ya CC 1800 kama zipo.
 
Hapo vigezo vingi sana vya kuzingatia.

Mfano, aina ya gari.
BMW 320i ina cc 2000 na IST ina cc 1500 kauli yake itakua sio ya ukweli.

Pia aina ya uendeshaji.
Kama una accerelate fasta ata gari lenye cc ndogo litakua na ulaji mkubwa wa mafuta ila kama unakua gentle ata gari lenye cc kubwa litakua na ulaji mzuri.

Vingine ni kama mzigo (uzito), service history, nk.

Yaani kauli yake inaongeza maswali kuliko majibu.
Uzi ufungwe!!
 
Mwaka Juzi nilisafiri na Toyota rumion ya CC 1500 kutoka DAR -DODOMA Huko njiani nilikweka mafuta tena kabla ya kufika dodoma hii ilitokana na acceleration kubwa hasa kwenye miinuko .
Acceleration ikiwa kubwa gari ya cc1500 inahangaika Sana engine
Pia aerodynamic maana rumion ni box shape so ilichangia maana dar dodoma kwa premio tena ile 1790 unafika na mafuta yanabaki
 
Pia aerodynamic maana rumion ni box shape so ilichangia maana dar dodoma kwa premio tena ile 1790 unafika na mafuta yanabaki
Upo Sahihi kabisaa kwasababu mwezi December nilisafiri na Subaru forester Yale mafuta yalinifikisha Hadi Dodoma bila kuongeza mafuta tena .... DAR Hadi Dodoma nilitumia mafuta ya 140,000/=
 
Back
Top Bottom