Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Me pia najiulizaga, kwanini majini karibu yote yana majina ya kiarabu? Sijawahi kusikia jinni linaitwa Joseph, John au basi hata Jini Mary/Maria, Hellen, Lidia nk, majini karibu yote niliowahi kuyasikia ni Maimuna, Makata, Juja wa majujani, Rajabu nk. Ndio na mimi najiuliza, je kuna uhusiano wowote wa Kiarabu na majini?