smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,405
- 2,835
sasa unabisha nini na wakati nyie ni kondoo wa bwana yaani hata kujiulizq haujiulizi eti yesu ndiyo aliletwa kuja kuwachunga kondooo wa bwana/israel sasa hata akili tu ya kujiuliza kwa nini wasiandike mbuzi ama ng'ombe wakaaandika kondooo hauna.kwa mm nijuavyo kondoo hanaga akili sawasawa kama mbuzi na ndio maaan mchungaji wa wanyama hawa huwa anawamiksi kondoo na mbuzi ili makondooo yaelewe yanapo pelekwa na mbuzi yasipoteeeeeNawewe uisie pelekeshwa ni mbuzi wa nani???