Hahahahahah I can feel your thoughtsMaoni ya members yatanifanya nichukue uamuzi gani maana napenda akili iwepo kichwani.
Hadi sasa bado 1-1 ila kuna mchango mmoja huko mwanzo utanipa maamuzi.😅Hahahahahah I can feel your thoughts
Wanasayansi wanajiweka mbali na ngono kwa sababu ya mda. Ngono inahitaji mda, baada ya ngono unapata deep sleep.Ngono inaondoa uwezo wa kufikiri
Wavumbuzi wote wa kisayansi walijiweka mbali na ngono
Angalia viongozi wa kiafrika wengi wamewekeza kwenye ngono ndio maana hata nchi za africa zimedumaa
Kabisa maana mbususu kuipata mpaka uwe na ndalama..na ndalama inapatikana kwa wale wenye akili mingifanya mapenz sana kunafanya ubongo uwe active
“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa”Salaaam!!!
Hivi ni kweli kwa mtu anaefanya mapenzi sana na kwa mda mrefu anaweza kuwa na reasoning kuliko yule asiyependa kufanya mapenzi??
naombeni majibu uhusiano wa mapenzi na akili.
Hii ni kweli nilipokuwa napiga nyeto akili yangu nakumbuka ilikuwa very slow....nakumbuka hiloNgono haina athari kwa akili, ila inaweza kuathiri utendaji kazi wa ubongo.
Ngono inahitaji nishati nyingi sana. Wakati huo huo ubongo hutumia about 20% ya nishati inayozalishwa na mwili wako.. so kama unatumia nishati yako nyingi kwenye ngono, natumai unaweza kuona athari yake kwa ubongo.
umeambia kufanya mapenzi inaweza kuwa na mkeo au mumeo“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa”
— Mithali 6:32