Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 404
Hatuyaoni mazuri kwa sababu (kama yapo) basi yapo katikati ya lundo kubwa (jalala) la mabaya kiasi hayaonekani! Pamoja na kuwa kila mtu ana haki ya kuongea lakini EL hana hadhi ya kuongelea uchapakazi wa mpendwa wetu Sokoine. Kama alijua uchapakazi na uadilifu wa Sokoine kwa nini hakuuiga.hapo umenena Mwanazuoni..mnyongeni haki yake mpeni....kuna mambo EL,kayafanya lakini watu hawayaoni wanaona mabaya yake tu ndo msemo unasema ukitenda mazuri watu wanayasau mabaya tu ndio wanayakumbuka..
EL mchafu mchafu tu. Si kwamba Sokoine katika utendaji wake hakufanya makosa, La hasha, kama binadamu makosa ya kiutendaji huwa yapo lakini yalitokea katika maamuzi yaliyokuwa na nia ya kuwafaa wananchi siyo kuwafisadi. EL alikuwa anafanya maamuzi yenye kumnufaisha yeye na kundi lake la kifisadi hakuwa na uchungu na wananchi huyu.