OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,710
- 9,378
Akili sio intelligence, intelligence ni kijisehemu cha akili,Mawazo yangu,
Hamna uhusiano wa moja kwa moja kati ya akili(intelligence) na malezi. Akili(intelligence) ni uwezo wa mtu binafsi aliozaliwa nao ila intellect(kisomo) ni mtu anajifunza katika makuzi yake ambapo kipimo chake ni IQ test.
Malezi ni way of life ambayo ni more of a social aspect (inapimwa kijamii).
Mi nafkiri utofauti kati ya hizo familia mbili ni PLATFORM tu ya kuwasilisha uwezo wao na fikra zao ambayo ndo ina athiriwa na mazingira na kipato.
Akili kwa kiingereza ni mind au Mental au psych