Kuna uhusiano gani kati ya akili na malezi?

Unawazungumziaje ambao wamezaliwa Masaki lakini wameishia kua na kabati la mtu wa Buza na waliozaliwa Buza ila wameishia kua na kabati la mtu wa Masaki?
Masaki bahati mbaya au Buza bahati mbaya.
 
Kasome kitabu Cha Ben Carson kinaitwa maajabu ya mikono yangu (heading inaendana hivyo hivyo km ntakua nimeikosea itakua ni kidogo coz nilikisoma zaman 2014),mi nilosoma Cha kiswahili kilitafsiriwa kutoka kwny kiingereza nilikikuta home,utajifunza vitu vingi mle kuhusiana na malez na Iq,coz mwanzo dokta Ben Carson alidhaniwaga kuwa na bogus na alipitia fedheha kubwa utoton kwa kudhaniwa mjinga mpaka alipokuja kubadili mtazamo akisaidiwa na mamaake ,akaanza kutumia muda mwing kujisomea,kushinda library kusoma,akaacha kuangalia tv,mpaka akawa best student kutoka kuwa mtoto wa mwisho darasan mpaka kuwa best,na hatimaye akaja kuwa daktar bingwa nchini Marekan na dunian na ndie dokta wa Kwanza(black America)aliefanikiwa kufanya operation kubwa yakuwatenganisha mapacha waloungana vichwa bila athar yeyote,nasisitiza soma kitabu hicho
 
Kasome kitabu Cha Ben Carson kinaitwa maajabu ya mikono yangu (heading inaendana hivyo hivyo km ntakua nimeikosea itakua ni kidogo coz nilikisoma zaman 2014),mi nilosoma Cha kiswahili kilitafsiriwa kutoka kwny kiingereza nilikikuta home,utajifunza vitu vingi mle kuhusiana na malez na Iq,coz mwanzo dokta Ben Carson alidhaniwaga kuwa na bogus na alipitia fedheha kubwa utoton kwa kudhaniwa mjinga mpaka alipokuja kubadili mtazamo akisaidiwa na mamaake ,akaanza kutumia muda mwing kujisomea,kushinda library kusoma,akaacha kuangalia tv,mpaka akawa best student kutoka kuwa mtoto wa mwisho darasan mpaka kuwa best,na hatimaye akaja kuwa daktar bingwa nchini Marekan na dunian na ndie dokta wa Kwanza(black America)aliefanikiwa kufanya operation kubwa yakuwatenganisha mapacha waloungana vichwa bila athar yeyote,nasisitiza soma kitabu hicho
Nitafanya hivyo mkuu
 
Hapo nafkiri malezi Yana mchango wake katika kumtengeneza mtoto basing on his or her intelligence lakin don't forget baadhi ya watoto kabla hata ya hayo malezi huzaliwa either wanakuwa gifted manake wanakuwa na high ability or wanakuwa vice versa.
 
Hapo nafkiri malezi Yana mchango wake katika kumtengeneza mtoto basing on his or her intelligence lakin don't forget baadhi ya watoto kabla hata ya hayo malezi huzaliwa either wanakuwa gifted manake wanakuwa na high ability or wanakuwa vice versa.
Kama ndohivo je wazaz wanakua hawajui au? Mara nying wazaz wanapenda wana wao wawe na akili lkn malez zero
 
Habari wakuu!

Huwa nimekuwa ni mwenye kujiuliza sana hili swali

Mara nyingi utakuta familia zenye malezi na maadili mazuri watot wao huwa bright sana na kinyume chake familia zenye uswahili mwing (hususa maeneo ya uswazi) pia mara nying watot nao huwa zero iq

Je kuna uhusiano gani kati ya u-intelligance wa mtot na malez?

Jamiiforums home of great thinkersView attachment 1928990
Akili ni matokeo output(unachokitoa)

Malezi ni input (unachokiingiza).

Hatuwezi kudefine mtu kama ana akili ilhali yupo tu kitandani amelala
Tunaomba u define kwanza akili ni nini? Kisha u define malezi ni nini?
Tutadefine kaili endapo mtu atafanya jambo la kushangaza mtu mwingine,hiyo ndio akili.

Akili bila matokeo hatuwezi kujua kama mtu ana akili au hana.

Na malezi ni vile mtoto anaona kitu,au anasikia kitu katika jamii inayomzunguka.

Malezi ni kila anachokiona mtoto au anachokisikia kwa kuambiwa ama asiambiwe,hayo ndio malezi.
 
Akili ni matokeo output(unachokitoa)

Malezi ni input (unachokiingiza).

Hatuwezi kudefine mtu kama ana akili ilhali yupo tu kitandani amelala

Tutadefine kaili endapo mtu atafanya jambo la kushangaza mtu mwingine,hiyo ndio akili.

Akili bila matokeo hatuwezi kujua kama mtu ana akili au hana.

Na malezi ni vile mtoto anaona kitu,au anasikia kitu katika jamii inayomzunguka.

Malezi ni kila anachokiona mtoto au anachokisikia kwa kuambiwa ama asiambiwe,hayo ndio malezi.
Je vitendo atakavyovifanya mtot ni matokeo ya akili au malez?
 
Kasome kitabu Cha Ben Carson kinaitwa maajabu ya mikono yangu (heading inaendana hivyo hivyo km ntakua nimeikosea itakua ni kidogo coz nilikisoma zaman 2014),mi nilosoma Cha kiswahili kilitafsiriwa kutoka kwny kiingereza nilikikuta home,utajifunza vitu vingi mle kuhusiana na malez na Iq,coz mwanzo dokta Ben Carson alidhaniwaga kuwa na bogus na alipitia fedheha kubwa utoton kwa kudhaniwa mjinga mpaka alipokuja kubadili mtazamo akisaidiwa na mamaake ,akaanza kutumia muda mwing kujisomea,kushinda library kusoma,akaacha kuangalia tv,mpaka akawa best student kutoka kuwa mtoto wa mwisho darasan mpaka kuwa best,na hatimaye akaja kuwa daktar bingwa nchini Marekan na dunian na ndie dokta wa Kwanza(black America)aliefanikiwa kufanya operation kubwa yakuwatenganisha mapacha waloungana vichwa bila athar yeyote,nasisitiza soma kitabu hicho
Mkuu tusaidie kiitabu hiko kama unnayo pdf.

Au hata jina lake mkuu
 
Je vitendo atakavyovifanya mtot ni matokeo ya akili au malez?
Akili ni matokeo.

Kwa hiyo ukiuliza vitendo ni matokeo ya akili au malezi ni sawa na kuuliza vitendo ni matokeo ya matokeo(akili) kwa sababu akili tumeshaona kwamba kwa ninavyoona akili ni matokeo.

Hivyo kitendo cha mtoto ndio akili yenyewe kwa sababu kitendo ni matokeo ama kitu ambacho tunaweza kukiona ama kukisikia.

Sasa basi tujiulize tu nini hupelekea akili au matokeo au vitendo kwa mtoto ?

Kitu gani hupelekea mtoto afanye vitendo ?

Hapo ndio malezi nayo huchagia sasa.
 
Akili ni matokeo.

Kwa hiyo ukiuliza vitendo ni matokeo ya akili au malezi ni sawa na kuuliza vitendo ni matokeo ya matokeo(akili) kwa sababu akili tumeshaona kwamba kwa ninavyoona akili ni matokeo.

Hivyo kitendo cha mtoto ndio akili yenyewe kwa sababu kitendo ni matokeo ama kitu ambacho tunaweza kukiona ama kukisikia.

Sasa basi tujiulize tu nini hupelekea akili au matokeo au vitendo kwa mtoto ?

Kitu gani hupelekea mtoto afanye vitendo ?

Hapo ndio malezi nayo huchagia sasa.
Nimekupata mkuu japo kuna maswali mengi huzuka

Mfano mtot atumiae bangi (kwasababu hakulelewa malez mazur) je akili hana? Kama hana, hiv ni kwel hajui kama bangi haifai?
 
Mfano mtot atumiae bangi (kwasababu hakulelewa malez mazur) je akili hana?
Binafsi nilishasema kwamba akili ni matokeo.

Na katika matokeo kuna matokeo mazuri na matokeo mabaya.

Hivyo mtoto akifanya matendo ambayo jamii inatafsiri kama mabaya tunasema kwamba haya matokeo yake ya kuvuta bangi yanatafsiriwa vibaya na jamii.

Hivyo tunasema akili yake au matokeo yake ni mabaya.

Hivyo hauwezi kusema hana akili wakati matendo anayafanya.

Akili kubwa lazima ifanye mambo makubwa katika jamii.

Akili mbovu lazima ifanye mambo mabovu katika jamii.

Hivyo ni makosa kusema mtu fulani akili hana,maadamu anafanya matendo basi akili anazo hapo linabaki suala la kwamba akili zake ni nzuri au mbaya kwa mujibu wa jamii husika.
je akili hana?
Akili naayo ndio maana anafanya matendo ya kuvuta bangi.
hiv ni kwel hajui kama bangi haifai?
Kujua kwamba kitu unachofanya hakifai hilo ni jambo moja,na kuwa na uwezo wa kuacha jambo hilo hilo ni jambo jingine kabisa.

Wapo makahaba wanajua ukahaba haufai lakini wanashindwa kuacha kutokana na sababu mbalimbali.

Hivyo inawezekana akajua bangi haifai lakini asiweze kujizuia akaacha hilo jambo.
 
Binafsi nilishasema kwamba akili ni matokeo.

Na katika matokeo kuna matokeo mazuri na matokeo mabaya.

Hivyo mtoto akifanya matendo ambayo jamii inatafsiri kama mabaya tunasema kwamba haya matokeo yake ya kuvuta bangi yanatafsiriwa vibaya na jamii.

Hivyo tunasema akili yake au matokeo yake ni mabaya.

Hivyo hauwezi kusema hana akili wakati matendo anayafanya.

Akili kubwa lazima ifanye mambo makubwa katika jamii.

Akili mbovu lazima ifanye mambo mabovu katika jamii.

Hivyo ni makosa kusema mtu fulani akili hana,maadamu anafanya matendo basi akili anazo hapo linabaki suala la kwamba akili zake ni nzuri au mbaya kwa mujibu wa jamii husika.

Akili naayo ndio maana anafanya matendo ya kuvuta bangi.

Kujua kwamba kitu unachofanya hakifai hilo ni jambo moja,na kuwa na uwezo wa kuacha jambo hilo hilo ni jambo jingine kabisa.

Wapo makahaba wanajua ukahaba haufai lakini wanashindwa kuacha kutokana na sababu mbalimbali.

Hivyo inawezekana akajua bangi haifai lakini asiweze kujizuia akaacha hilo jambo.
Nimekupata vzur mkuu ahsante

Ila kipi kipimo cha akili kubwa mkuu
 
Nimekupata vzur mkuu ahsante

Ila kipi kipimo cha akili kubwa mkuu
Kipimo cha akili kubwa ni kufanya mambo makubwa ambayo watu wengi kama wewe wamgeshindwa kufanya.

Isack newton ni akili kubwa kwa sababu alifanya mambo makubwa ambayo wengi hawakufikiria kuyafanya.

Eistein ni akili kubwa kwa sababu kafanya mambo makubwa ambayo wengi hawakuyafanya.

Sliyegundua simu ni akili kubwa kwa sababu wengi hawakufanya.

Hivyo akili kubwa ni kufanya mambo makubwa katika jamii yako au kwa watu wanaokuzunguka.

Ukipata G.P.A YA 5 alafu ikawa wewe ndio wa mwanzo kupata hiyo tunasema wewe ni akili kubwa.

Ila leo ukisema unatengeneza gari hatusemi ni akili kubwa kwa sababu gari imeshakuwepo hivyo unakopi tu ya watu,unatakiwa uvumbue cha kwako.

Mkuu kama kuna sehemu hujaelewa usisite kuuliza maana sote tunajifunza kwa kubadilishana mawazo
 
Habari wakuu!

Huwa nimekuwa ni mwenye kujiuliza sana hili swali

Mara nyingi utakuta familia zenye malezi na maadili mazuri watot wao huwa bright sana na kinyume chake familia zenye uswahili mwing (hususa maeneo ya uswazi) pia mara nying watot nao huwa zero iq

Je kuna uhusiano gani kati ya u-intelligance wa mtot na malez?

Jamiiforums home of great thinkersView attachment 1928990
Sijui wenzangu mnaelewa nini kuhusu akili.

Kwa upande wangu nasema akili haina uhusiano na malezi, akili ni akili tu, mtu anazaliwanazo(karithi kutoka kwa wazazi).

=>Pia binadamu tumezidiana uwezo wa kiakili, usije ukafikilia kua kipindi watoto wanazaliwa huwa wanakua na akili sawa hapana.

=>Mazingira ya malezi ambayo mtu anayokulia yanazaa kitu kinaitwa ustarabu.<=>(Eksipozya ya mtu itapelekea kua au kutokua na busara).

Mtu kua mstarabu wa ushuani, malezi bora haina maana ndio anaakili wapo wenye uwezo mkubwa wa akili na wakawaida, hivyo hivyo hata uswahilini.

Mtu kutokua mstarabu haina maana ndio hana akili ( mtu anakula bangi matusi wizi nk) lakini akili zimo, na wapo ambao wakawaida pia.
Mfano; 20% na 👮🏿Sele, 😂🏃🏾🏃🏾🏃🏾

=>Duniani huko kuna waharifu/wauwaji na majambazi wanauwezo mkubwa wa akili ila ndio hivyo tena ustaarabu ni zer0.
 
Mtazamo wako unaweza kuwa sawa, But not it At all!
Ifahamike kuwa mtoto anarithi 70% ya uwezo wake kichwani kutoka kwa mama, ndio sababu familia ambazo mke ni msomi au anatoka familia ya wasomi wengi, utakuta watoto wake wengi pia kichwani wapo fit!
Familia hata kama ina maelezi bora kiasi gani, lakini kama watoto kichwani ni mburura, wataishia tu kuwa wapole na wenye nidhamu, lakini pia huja kukorofisha pa hovyo huko mbele!
Isipokuwa kama mtoto kwa asili i intelligent, hata akipita kweye malezi mabaya, mwishoi huja kujicotroll na anakuwa sawa!
Kua familia imeishi ayo jirai, walikuwa wakristu wacha Mungu watoto karibu wote walitolea kwenye utumishi kanisani, lakini ni mmoja tu alibahatika kufaulu la saba na kisha akapata kazi ya ualimu nayo kwa kufoji vyeti ambapo alitimuliwa mwaka 2017! Hawa walikuwa na mlezi mazuri lakini kichwani wakawa hawana kitu!
Pia kuna familia nyingine walilelewa hovyo sana, hadi mama anawashonea watoto mitindo ya nguo za kikahaba na wale wakiume anawapa mtoto pesa ya kwenda kutongozea wasichana, Lakini walishakuwa watu wazima, wakike wameolewa kwa harusi na wana ajira za serikali na wametulia fresh kabisa wana maisha yao mjini!
Wacha wee!👣👣
 
Habari wakuu!

Huwa nimekuwa ni mwenye kujiuliza sana hili swali

Mara nyingi utakuta familia zenye malezi na maadili mazuri watot wao huwa bright sana na kinyume chake familia zenye uswahili mwing (hususa maeneo ya uswazi) pia mara nying watot nao huwa zero iq

Je kuna uhusiano gani kati ya u-intelligance wa mtot na malez?

Jamiiforums home of great thinkersView attachment 1928990

Mawazo yangu,
Hamna uhusiano wa moja kwa moja kati ya akili(intelligence) na malezi. Akili(intelligence) ni uwezo wa mtu binafsi aliozaliwa nao ila intellect(kisomo) ni mtu anajifunza katika makuzi yake ambapo kipimo chake ni IQ test.
Malezi ni way of life ambayo ni more of a social aspect (inapimwa kijamii).
Mi nafkiri utofauti kati ya hizo familia mbili ni PLATFORM tu ya kuwasilisha uwezo wao na fikra zao ambayo ndo ina athiriwa na mazingira na kipato.
 
Back
Top Bottom