Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,429
- 3,382
- Thread starter
- #41
Pw nimekupata mkuuAlafu pia mkuu nachojaribu kuonyesha nikwamba wakati mwingine watoto wa maskini wanakuaga na uwezo mkubwa Sana Darasani hivyo Mungu hakunyimi vyote,wangapi hata Hawa mawaziri unaowaona wengi wao ukifuatilia utakuta wametoka ktk familia za kimaskini ila Elimu ilikuja ikawakwamua