Kuna uhusiano gani hapa?

Mr wenu

JF-Expert Member
Apr 4, 2017
1,088
1,666
Habari za mchana sana JF wenzangu.
Uhusiano ni UPI hapa.
Wasanii waliowengi wakubwa wametoboa pua na masikio,wanavaa hereni,wamejichora tattoo mwilini mwao.
Naomba msaada juu ya hili.
88af208ffe032b09129faad728d44467.jpg
d96088064631cc8cc3aec6d44b2ea8c4.jpg
aee91337f1eb0233db09b26e63edd50c.jpg
99ab0846b16b23bbd04136483754a7b5.jpg
9fe3df3c6eec7ed671c8913ae3ccba70.jpg
 
Ukipak lipstick hujajichor kwa sababu ukiamua kufut unafut bila mwil wak kudhurik
Good jibu lako linaonyesha unajipaka.. na ina pia.

Sasa ni kama mmoja anaendesha sport bike mwingine anaendesha Aston Martin DB 10.
 
nilishawahi kusikia kuwa wale jamaa kwa trump huchora tatoo as sign ya kukumbuka makovu ya babu zao waliyokuwa wanayapata kwa viboko enzi za utumwa
 
Back
Top Bottom