Hakuna uhusiano wowote , utapoteza mda wako bure , hzo conflict huwa zinaibuka tuu , tangu enzi na enzi....life span yako ni ndogo tuu kuanza kufikria Jambo zito kama la mwisho wa dunia ,
Na kerwa na watu wanaoitete israel kwa mujibu kujiita na wao ni taifa teule, israel hakuna ukristo pale, wale ni wayahudi na wanaimani zao zinazokinzana wazi na wakristo, ishu ya vita ya Palestine na israel, siku israel ikiivamia palestine watu wanakaa kimya wanaona ni kawaida lkn siku palestine ikijibu mashambuliz eti ombea israel achen upuuzi wa africa! Wale wanamigogoro yao na haihusiani chochote na mwisho wa dunia!
Chagua adui wako wa misingi muache kusikiliza propaganda za wazungu mitandaoni kuhusu israel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.