Tetesi: Kuna uhamishaji wa raia unakuja mapema mwaka 2026 kupisha wawekezaji, kaeni mkao

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,794
6,669
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu, full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1. Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2. Simanjiro, hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3. Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4. Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya, hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5. Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti, hapa wanapewa Wazungu pia. Raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6. Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana, hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga, huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia, jirani na Serengeti, kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
 
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1.Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2.Simanjiro,Hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3.Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4.Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya,hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5.Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti,hapa wanapewa Wazungu pia. raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6.Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana,hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga,huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia,jirani na Serengeti,kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
Bahati MBAYA ni kwamba, Rais wa mwaka huo si huyu.
 
Hilo linajulikana wazi, madalali washakula cha juu, wawekezaji washatoa kishika uchumba na watafadhili uchaguzi mkuu! Lolote laweza kutokea na meza ikapinduka.
 
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1.Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2.Simanjiro,Hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3.Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4.Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya,hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5.Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti,hapa wanapewa Wazungu pia. raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6.Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana,hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga,huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia,jirani na Serengeti,kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
Kwl syo
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1.Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2.Simanjiro,Hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3.Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4.Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya,hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5.Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti,hapa wanapewa Wazungu pia. raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6.Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana,hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga,huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia,jirani na Serengeti,kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
kwl kabsa syo mpaka 2026 coz juz tulitokea uko kuzka maeneo ya monduli panaitwa makuyun tayar na bango zmesha wekwa na tayar washaambiwa wakivuna wapasw kulima tena
 
Hao Sasa Wanapewa Umiliki Miaka 100 Haa Ila Viongozi Wanaposimama Kwenye Podium Utaona Watu Wazuri Wana Hofu Ya Mungu Lakini Ukweli Mchungu Ni Watu Wabaya Sana
Hawana Utu Hawaisaidii Tanzania Zaidi Ulafi, Dhulma, Tamaa, Kujilimbikizia Mali, Uporaji


Sasa Nchii Hii Unawatoa Watanzania Wakati Mapori Tele
 
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1.Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2.Simanjiro,Hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3.Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4.Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya,hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5.Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti,hapa wanapewa Wazungu pia. raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6.Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana,hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga,huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia,jirani na Serengeti,kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
Hayatatokea!

Mungu atatenda muujiza!!

Hili ni taifa la miujiza famasiara Nini!!!
 
Yele yanayo tokea Kilimanjaro Airport na kule Ngorongoro ni trela tu,full Move inakuja na kuna kulia na kuswaga meno mwaka 2026.

Kinacho ngojwa kwa sasa ni uchaguzi upite kwanza kabla ya move kuanza.

Maeneo yafuatayo watu watalia sana.

1.Longido kupisha MWarabu.Poli la Longido anapewa Mwarabu na kuna masai wanapaswa kuhamishwa kwa nguvu.

2.Simanjiro,Hii itamegwa kuna mwekezaji kutoka Ufaransa atapewa afanye utalii wa uwindsji.

3.Sehemu ya Monduli inayo pakana na Hifadhi ya Tarangine,hapa kuna wamasai wataondolewa apewe Mwarabu.

4.Sehemu ya Wilaya ya Siha inayo pakana Poli la Longido na Hifadhi ya Amboseli Kenya,hapa pia Masai watafurushwa mbaya.

5.Kuna Vijiji jilani na hifadhi ya Serengeti,hapa wanapewa Wazungu pia. raia hapo wajindae kulia kilio kikuu.

6.Maswa game reserve kuna vijiji Wasukuma watalia sana,hapo anapewa MZungu pia.

Kuna data sijazipata kamil kutoka Same na MWanga,huko pia Wapare wakae mguu sawa baadhi ya maeneo.

Wilaya Bunda pia,jirani na Serengeti,kuna raia watalia kilio kikuu.

Uchaguzi ndio unao subiliwa upite.
Wangeuza Zanzibar yote kwanza halafu wazenji wote wafurushwe kuja Bara..

Mi-5 tena kwa sa100
 
Back
Top Bottom