Serikali kweli imeshindwa kabisa kutumia vyombo vyake vya usalama kuwajua waliompiga risasi Tundu Lissu na waliomteka Mo Dewji?

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,073
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa anaishi na Baadhi ya Mawaziri Nyumba yenye KAMERA za Usalama lakini pamoja na Vyombo vyetu vya Usalama kuwepo Mpaka leo WATUHUMUWA hawajakamatwa

Tukio lingine ni la mfanyabiashara mo dewji kutekwa asubuhi jijini dar es salaam na baadae kutelekezwa lakini wahusika wa tukio hilo mpaka leo hawajakamatwa licha ya kuwa na vyombo vya usalama.Najiuliza

Je, ni kweli Serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?

Kama imeshindwa kwanini isiruhusu vyombo vya nje vije vifanye upelelezi na kuwabaini wahusika?
 
mhh ngoja nikae hapa kwenye corner niangalie wabobezi wa maswala ya usalama wakija kumwagika
 
kweli serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?
Nyongeza ya hapo ni lini Ninyi wanaharakati mtaanzisha harakati za kuhimiza serikali na vyombo vyake vya usalama kulivalia njuga suala kuwakamata waliokuwa kiini cha matukio ya kuua viongozi wa Chama na serikali Pamoja na vyombo vya usalama hukoRufiji (kibiti, mkulanga, Al maarufu MKIRU)?
 
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa Anaishi na Baadhi ya Mawaziri Nyumba yenye KAMERA za Usalama lakini pamoja na Vyombo vyetu vya Usalama kuwepo Mpaka leo WATUHUMUWA hawajakamatwa

Tukio lingine ni la mfanyabiashara mo dewji kutekwa asubuhi jijini dar es salaam na baadae kutelekezwa lakini wahusika wa tukio hilo mpaka leo hawajakamatwa licha ya kuwa na vyombo vya usalama.Najiuliza

Je ni kweli serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?


Kama imeshindwa kwanini isiruhusu vyombo vya nje vije vifanye upelelezi na kuwabaini wahusika?
Serikali itajichunguzaje wajameni!
 
Nyongeza ya hapo ni lini Ninyi wanaharakati mtaanzisha harakati za kuhimiza serikali na vyombo vyake vya usalama kulivalia njuga suala kuwakamata waliokuwa kiini cha matukio ya kuua viongozi wa Chama na serikali Pamoja na vyombo vya usalama hukoRufiji (kibiti, mkulanga, Al maarufu MKIRU)?

..serikali iliendesha operation maalum maeneo ya mkiru kuwashughulikia waliokuwa wakiendesha mauaji yale.

..tatizo ni kwamba serikali haijatoa mrejesho wa nani walikamatwa na nani waliuawa na vyombo vya dola.
 
Kukosa majibu,ni majibu pia.Mimi nakushangaa wewe mtoa maada.Na siyo hayo tu kuna mtu alivamia kituo cha redio na clip zipo hajachukuliwa hatua yoyote,kuna mwingine alinyooshewa bunduki hadharani,na clips zipo.

Itoshe kusema,ukitazama kwa umakini utapata majibu.Huhitaji shahada ya uzamivu
 
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa Anaishi na Baadhi ya Mawaziri Nyumba yenye KAMERA za Usalama lakini pamoja na Vyombo vyetu vya Usalama kuwepo Mpaka leo WATUHUMUWA hawajakamatwa

Tukio lingine ni la mfanyabiashara mo dewji kutekwa asubuhi jijini dar es salaam na baadae kutelekezwa lakini wahusika wa tukio hilo mpaka leo hawajakamatwa licha ya kuwa na vyombo vya usalama.Najiuliza

Je ni kweli serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?


Kama imeshindwa kwanini isiruhusu vyombo vya nje vije vifanye upelelezi na kuwabaini wahusika?
Serikali ya chama kipi unayoirejea hapa ndugu? Hii tunayoijua au nyingine? Kama ni hii meza mate ulale.
 
Nyongeza ya hapo ni lini Ninyi wanaharakati mtaanzisha harakati za kuhimiza serikali na vyombo vyake vya usalama kulivalia njuga suala kuwakamata waliokuwa kiini cha matukio ya kuua viongozi wa Chama na serikali Pamoja na vyombo vya usalama hukoRufiji (kibiti, mkulanga, Al maarufu MKIRU)?
Hopeless.
 
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa anaishi na Baadhi ya Mawaziri Nyumba yenye KAMERA za Usalama lakini pamoja na Vyombo vyetu vya Usalama kuwepo Mpaka leo WATUHUMUWA hawajakamatwa

Tukio lingine ni la mfanyabiashara mo dewji kutekwa asubuhi jijini dar es salaam na baadae kutelekezwa lakini wahusika wa tukio hilo mpaka leo hawajakamatwa licha ya kuwa na vyombo vya usalama.Najiuliza

Je, ni kweli Serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?

Kama imeshindwa kwanini isiruhusu vyombo vya nje vije vifanye upelelezi na kuwabaini wahusika?
Hivi mtuhumiwa anaweza kujichunguza mwenyewe?
 
Watanganyika Nawasabahi .Nimekuwa najiuliza Sakata la TUNDU LISSU na MO DEWJI Watu hao Mmoja alipigwa Risasi Dodoma Makao Makuu ya Nchi Mchana Kweupe kwenye Lango la Nyumba aliokuwa anaishi na Baadhi ya Mawaziri Nyumba yenye KAMERA za Usalama lakini pamoja na Vyombo vyetu vya Usalama kuwepo Mpaka leo WATUHUMUWA hawajakamatwa
Tukio hili, upepelezi bado haujaanza kwa sababu hakuna mtu yoyote aliyelalamika, hivyo jeshi letu makini la polisi, linawasubiria mashuhuda muhimu wawili wa pekee walioshuhudia hili tukio, waje kuhojiwa na kuchukuliwa maelezo, ndipo uchunguzi uanze!. Tukio hili limefanywa na watu wasiojulikana. Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Je, ni kweli Serikali imeshindwa kabisa kuwakamata wahusika au haitaki?
Hili niliwahi kushauri WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kama imeshindwa kwanini isiruhusu vyombo vya nje vije vifanye upelelezi na kuwabaini wahusika?
Kwenye hili, serikali yetu haijashindwa bali inawasubiri hao mashuhuda wawili muhimu ndipo uchunguzi uanze, ila hata sisi media, tunaweza kusaidia!. Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P
 
Back
Top Bottom