mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,174
Muungano ni kama ndoa
-Zanzibar ilikuwa huru kabla ya Muungano
-Tanganyika pia ilikuwa haijaungana na ncho yoyote
-Nyerere na Karume (bila ridhaa ya wananchi waliokuwa wakiwatawala) wakaona bora waunganishe nchi hizi mbili
-Huku Memorandum za Muungano zikafishwa na imefika mahala kosa kuziulizia
-Muungano umelega lega na malalamiko (hasa from visiwani kuwa uko one sided) while on the other hand Bara wanaona Zanzibar wanaishi kwa INCOME SUPPORT za wa Bara hivyo ni mzigo
-Sasa kama imeshindikana kwani kuna ubaya gani Muungano ukavunjwa na kima mmoja akarudi kuwa na nchi yake bila kuingiliana?
Ohhh jambo lingine
Je ni kweli BARA ndio wanaoungangania huu Muungano wakati VISIWANI hawana hawautaki?
Apparently kwenye mitaa ya huko visiwani kuna habari kuwa WAZANZIBARI be if CUF au CCM WANA one thing in common: HAWAUTAKI MUUNGANO lakini its politocally incorrect kusema live lakini ukweli ni kuwa wao hawautaki
kwa nini tusiwaache na visiwa vyao?
-Zanzibar ilikuwa huru kabla ya Muungano
-Tanganyika pia ilikuwa haijaungana na ncho yoyote
-Nyerere na Karume (bila ridhaa ya wananchi waliokuwa wakiwatawala) wakaona bora waunganishe nchi hizi mbili
-Huku Memorandum za Muungano zikafishwa na imefika mahala kosa kuziulizia
-Muungano umelega lega na malalamiko (hasa from visiwani kuwa uko one sided) while on the other hand Bara wanaona Zanzibar wanaishi kwa INCOME SUPPORT za wa Bara hivyo ni mzigo
-Sasa kama imeshindikana kwani kuna ubaya gani Muungano ukavunjwa na kima mmoja akarudi kuwa na nchi yake bila kuingiliana?
Ohhh jambo lingine
Je ni kweli BARA ndio wanaoungangania huu Muungano wakati VISIWANI hawana hawautaki?
Apparently kwenye mitaa ya huko visiwani kuna habari kuwa WAZANZIBARI be if CUF au CCM WANA one thing in common: HAWAUTAKI MUUNGANO lakini its politocally incorrect kusema live lakini ukweli ni kuwa wao hawautaki
kwa nini tusiwaache na visiwa vyao?