Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,081
Jamani kumekucha! Kumekucha mapema kuliko tulivyodhani. Naam Asanteni Wabunge wa CCM ambao mmetoa sauti zenu wazi wazi kuonyesha kutokukubaliana na hali ilivyo. Ukweli wenu japo unakuja kwa kuchelewa lakini asanteni; huenda ukabadilisha baadhi ya mambo. Asante Bashe, Asante Masele, Asante wale Wabunge wote wa jana kwa nguvu moja waliompinga Jenista na "surprise" zake.
Je, huu sio "uasi" kwa chama tawala? Je, haiwezi kuwa mwanzo wa kupata maendeleo ya kweli? Hope hamtaitwa kwenye vile vikao vyenu na kusulubishwa. lakini pia hongera Lema naona somo la juzi limepenyeza mahali pake. "Uasi" wenu ndio utaokoa taifa hili. Hongereni
Je, huu sio "uasi" kwa chama tawala? Je, haiwezi kuwa mwanzo wa kupata maendeleo ya kweli? Hope hamtaitwa kwenye vile vikao vyenu na kusulubishwa. lakini pia hongera Lema naona somo la juzi limepenyeza mahali pake. "Uasi" wenu ndio utaokoa taifa hili. Hongereni