mahutu
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 766
- 558
Kama vile naona Tanzania ya mabadiliko, mkuu wa kaya aliposema mabadilo yatakuja kumbe alijua chanzo cha umaskini ni mule bungeni...badala wabunge waweke maslah ya taifa mbele wanenda kuchkua Posho. Akibana hivi kwa miaka mitatu mbele basi tukua tunapata viongozi makini na siyo wapiga dili