Kuna tukio la kishirikina liliwahi kunitokea miaka kama 20 iliyopita na limebadilisha maisha yangu

Akijiombea mwenyewe Mungu hamsikii? Mungu gani huyo mnaemuabudu mwenye masharti hivi?

Aidha hakuna cha kamba wala mnyororo ni yeye mwenyewe tu na mawazo yake potofu. Kila mtu anaefeli akisema amerogwa basi dunia nzima tumewahi kurogwa.
Nakushauri nenda ukaombewe ufunguliwe hizo kamba, nenda Kanisa la KKKT kijitonyama muone Mchungaji Kimaro au Engineer GoodLuck Mushi wa Kijitonyama watukusaidia sana na tatizo litakwisha
 
mtoa mada inaonekana wewe ni mshirikina sana yani unaamini sana ushirikina.huyo mtu inawezekana alikugusa kwa mapenzi yake tu kwa watoto kama ulivyosema ulikua bado mdogo .sasa uvivu wako wa maisha unataka kusingizia uchawi,uliacha chuo kwa upumbavu wako wakati hujadisco na ulikua na GPA kubwa ila tamaa zako ukaamua kuingia mitaani elimu ukaona haina maana ,sasa umepigika unataka kulaumu watu wengine.hiyo familia yako ni yakimasikini kama familia nyingi za kiafrica wala hakuna uchawi hapo .pambana achana na imani za kijinga
 
Mabibi na Mabwana wa JF,

Naandika uzi huu hii ikiwa mara ya kwanza kabisa mimi kushare habari hii mahali popote. Sijawahi kumwambia mtu, hata familia yangu haijui kuhusu hili.

Nalileta kwenu kwa sababu nimenuia kabisa hili suala lazima nilitatue mwaka huu. Najaribu kuendelea kutambua watu ambao wanaweza kunisaidia kwa sababu nguvu inayonishikilia naona inaendelea kukaza kamba kweli kweli yaani siyo utani.

Kiufupi, kuna siku moja nikiwa kijana mdogo nilikuwa napanda basi wakati naelekea kukaa kwenye siti njiani nikapishana na mtu mmoja amevaa baibui jeusi amejifunika hadi usoni. Ilikuwa ni hapa hapa Dar es Salaam. Nakumbuka hadi kituo nilichokuwa nimepanda. Wakati napishana naye akaniwekea vidole machoni. Mimi nikapata kama bumbuazi fulani hivi yeye nadhani akashuka.

Kiufupi, maisha yangu hayajawa sawa toka wakati huo. Mimi ni mtu mwenye uwezo sana kiakili ila hata chuo niliishia katikati tena GPA yangu ikiwa ya juu. Wenzangu wamesogea sana na wengine wanaitwa waheshimiwa sasa hivi wakati mimi nimekuwa mtu ambaye hata nijaribu vipi niko pale pale. Na hata familia yangu kiujumla ukianzia kaka na dada zangu wana hali fulani ya kuhangaika tu wote. Tungeweza kufanya mambo makubwa binafsi na hata pamoja ila hakuna tunaloweza kuonyesha mpaka sasa.

Story yangu ni ndefu sana na nimepitia mengi mno nisingependa kuyaelezea hapa.

Kuna wakati tukio hili huwa linaondoka kwenye fikra zangu ila kuna wakati vitu fulani vinatokea mfululizo halafu nakumbuka siku ile.

Mimi ni mtu wa maombi, najaribu sana kuwa hivyo. Sijakata tamaa na sitakata tamaa, lakini najiulizaga nitasubiri mpaka lini?

Naomba ushauri tafadhali. Hali yangu lazima ibadilike sasa hivi.
Bro commit suicide tu hamna namna. Dakika tano hutateseka tena milele
 
Watanzania bado saaaaana! Hii inaonesha kwamba kuna kazi kubwa ya kufanya kwa kweli! Mtu mzima anchoongea na kuamini, utacheka. Sasa huyu ndugu watoto wake si atawajaza utumwa na imani za kishirikina tu?
Huyu hatakiwa kupata nafuu ya maisha kabisa maana kwa imani aliyonayo anaweza kuua yeyote anayehisi ni mbaya. KWA IMANI HIYO HUWEZI FANIKIA BWANA. POLE! MUNGU HUWA ANAGAWA KULINGANA NA ULIVYO. WEWE HUFAI KUPEWA MAANA IMANI ILIYONAYO NI DELICATE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili Liko Kwa Media Nyingi Tu, Kuanzia Kubwa Hadi Ndogo, Waandishi Wataripotia Wapi Kama Si Kujiharibia Fursa Ya Ajira Kwingine? Inabidi Mambo Yaende Kimyakimya Tu, Mwenye Kuona Wapi Kuna Malisho Ya Majani Mabichi Anaondoka Na Kwenda Huko.
 
Mabibi na Mabwana wa JF,

Naandika uzi huu hii ikiwa mara ya kwanza kabisa mimi kushare habari hii mahali popote. Sijawahi kumwambia mtu, hata familia yangu haijui kuhusu hili.

Nalileta kwenu kwa sababu nimenuia kabisa hili suala lazima nilitatue mwaka huu. Najaribu kuendelea kutambua watu ambao wanaweza kunisaidia kwa sababu nguvu inayonishikilia naona inaendelea kukaza kamba kweli kweli yaani siyo utani.

Kiufupi, kuna siku moja nikiwa kijana mdogo nilikuwa napanda basi wakati naelekea kukaa kwenye siti njiani nikapishana na mtu mmoja amevaa baibui jeusi amejifunika hadi usoni. Ilikuwa ni hapa hapa Dar es Salaam. Nakumbuka hadi kituo nilichokuwa nimepanda. Wakati napishana naye akaniwekea vidole machoni. Mimi nikapata kama bumbuazi fulani hivi yeye nadhani akashuka.

Kiufupi, maisha yangu hayajawa sawa toka wakati huo. Mimi ni mtu mwenye uwezo sana kiakili ila hata chuo niliishia katikati tena GPA yangu ikiwa ya juu. Wenzangu wamesogea sana na wengine wanaitwa waheshimiwa sasa hivi wakati mimi nimekuwa mtu ambaye hata nijaribu vipi niko pale pale. Na hata familia yangu kiujumla ukianzia kaka na dada zangu wana hali fulani ya kuhangaika tu wote. Tungeweza kufanya mambo makubwa binafsi na hata pamoja ila hakuna tunaloweza kuonyesha mpaka sasa.

Story yangu ni ndefu sana na nimepitia mengi mno nisingependa kuyaelezea hapa.

Kuna wakati tukio hili huwa linaondoka kwenye fikra zangu ila kuna wakati vitu fulani vinatokea mfululizo halafu nakumbuka siku ile.

Mimi ni mtu wa maombi, najaribu sana kuwa hivyo. Sijakata tamaa na sitakata tamaa, lakini najiulizaga nitasubiri mpaka lini?

Naomba ushauri tafadhali. Hali yangu lazima ibadilike sasa hivi.

Mkuu unatumia pombe?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bado saaaaana! Hii inaonesha kwamba kuna kazi kubwa ya kufanya kwa kweli! Mtu mzima anchoongea na kuamini, utacheka. Sasa huyu ndugu watoto wake si atawajaza utumwa na imani za kishirikina tu?
Huyu hatakiwa kupata nafuu ya maisha kabisa maana kwa imani aliyonayo anaweza kuua yeyote anayehisi ni mbaya. KWA IMANI HIYO HUWEZI FANIKIA BWANA. POLE! MUNGU HUWA ANAGAWA KULINGANA NA ULIVYO. WEWE HUFAI KUPEWA MAANA IMANI ILIYONAYO NI DELICATE

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaninenea mabaya kwani nimekukosea nini? Bila imani yangu nisingekuwepo hapa leo naandika haya, wewe yasikie tu haya kwa wengine na mshukuru Mungu hayajakupitia wewe.
 
Mabibi na Mabwana wa JF,

Naandika uzi huu hii ikiwa mara ya kwanza kabisa mimi kushare habari hii mahali popote. Sijawahi kumwambia mtu, hata familia yangu haijui kuhusu hili.

Nalileta kwenu kwa sababu nimenuia kabisa hili suala lazima nilitatue mwaka huu. Najaribu kuendelea kutambua watu ambao wanaweza kunisaidia kwa sababu nguvu inayonishikilia naona inaendelea kukaza kamba kweli kweli yaani siyo utani.

Kiufupi, kuna siku moja nikiwa kijana mdogo nilikuwa napanda basi wakati naelekea kukaa kwenye siti njiani nikapishana na mtu mmoja amevaa baibui jeusi amejifunika hadi usoni. Ilikuwa ni hapa hapa Dar es Salaam. Nakumbuka hadi kituo nilichokuwa nimepanda. Wakati napishana naye akaniwekea vidole machoni. Mimi nikapata kama bumbuazi fulani hivi yeye nadhani akashuka.

Kiufupi, maisha yangu hayajawa sawa toka wakati huo. Mimi ni mtu mwenye uwezo sana kiakili ila hata chuo niliishia katikati tena GPA yangu ikiwa ya juu. Wenzangu wamesogea sana na wengine wanaitwa waheshimiwa sasa hivi wakati mimi nimekuwa mtu ambaye hata nijaribu vipi niko pale pale. Na hata familia yangu kiujumla ukianzia kaka na dada zangu wana hali fulani ya kuhangaika tu wote. Tungeweza kufanya mambo makubwa binafsi na hata pamoja ila hakuna tunaloweza kuonyesha mpaka sasa.

Story yangu ni ndefu sana na nimepitia mengi mno nisingependa kuyaelezea hapa.

Kuna wakati tukio hili huwa linaondoka kwenye fikra zangu ila kuna wakati vitu fulani vinatokea mfululizo halafu nakumbuka siku ile.

Mimi ni mtu wa maombi, najaribu sana kuwa hivyo. Sijakata tamaa na sitakata tamaa, lakini najiulizaga nitasubiri mpaka lini?

Naomba ushauri tafadhali. Hali yangu lazima ibadilike sasa hivi.
Kwa mujibu wa ulichoandika hakuna uchawi wala kulogwa. Kwa hiyo familia zoote ambazo watu wake hawajapiga hatua ni wamelogwa. Labda uongeze nyama kidogo kwenye maelezo yako. Vinginevyo pambana na uondoe hizo fikra
 
mtoa mada inaonekana wewe ni mshirikina sana yani unaamini sana ushirikina.huyo mtu inawezekana alikugusa kwa mapenzi yake tu kwa watoto kama ulivyosema ulikua bado mdogo .sasa uvivu wako wa maisha unataka kusingizia uchawi,uliacha chuo kwa upumbavu wako wakati hujadisco na ulikua na GPA kubwa ila tamaa zako ukaamua kuingia mitaani elimu ukaona haina maana ,sasa umepigika unataka kulaumu watu wengine.hiyo familia yako ni yakimasikini kama familia nyingi za kiafrica wala hakuna uchawi hapo .pambana achana na imani za kijinga

Unaongea kama ndugu na marafiki wa Ayubu katika Biblia waliokuwa wanamnaumu yeye kwa mambo yaliyokuwa yanamtokea. Na kwa hilo napata matumaini ya kushinda!
 
Ko mtu kukuonyeshea macho ni uchawi?? Acha undez we kijana piga kaz, cha ajabu et had chuo uliacha,Tatzo badala ya kuvuta bangi ww ulimeza
Mabibi na Mabwana wa JF,

Naandika uzi huu hii ikiwa mara ya kwanza kabisa mimi kushare habari hii mahali popote. Sijawahi kumwambia mtu, hata familia yangu haijui kuhusu hili.

Nalileta kwenu kwa sababu nimenuia kabisa hili suala lazima nilitatue mwaka huu. Najaribu kuendelea kutambua watu ambao wanaweza kunisaidia kwa sababu nguvu inayonishikilia naona inaendelea kukaza kamba kweli kweli yaani siyo utani.

Kiufupi, kuna siku moja nikiwa kijana mdogo nilikuwa napanda basi wakati naelekea kukaa kwenye siti njiani nikapishana na mtu mmoja amevaa baibui jeusi amejifunika hadi usoni. Ilikuwa ni hapa hapa Dar es Salaam. Nakumbuka hadi kituo nilichokuwa nimepanda. Wakati napishana naye akaniwekea vidole machoni. Mimi nikapata kama bumbuazi fulani hivi yeye nadhani akashuka.

Kiufupi, maisha yangu hayajawa sawa toka wakati huo. Mimi ni mtu mwenye uwezo sana kiakili ila hata chuo niliishia katikati tena GPA yangu ikiwa ya juu. Wenzangu wamesogea sana na wengine wanaitwa waheshimiwa sasa hivi wakati mimi nimekuwa mtu ambaye hata nijaribu vipi niko pale pale. Na hata familia yangu kiujumla ukianzia kaka na dada zangu wana hali fulani ya kuhangaika tu wote. Tungeweza kufanya mambo makubwa binafsi na hata pamoja ila hakuna tunaloweza kuonyesha mpaka sasa.

Story yangu ni ndefu sana na nimepitia mengi mno nisingependa kuyaelezea hapa.

Kuna wakati tukio hili huwa linaondoka kwenye fikra zangu ila kuna wakati vitu fulani vinatokea mfululizo halafu nakumbuka siku ile.

Mimi ni mtu wa maombi, najaribu sana kuwa hivyo. Sijakata tamaa na sitakata tamaa, lakini najiulizaga nitasubiri mpaka lini?

Naomba ushauri tafadhali. Hali yangu lazima ibadilike sasa hivi.
 
Kwa mujibu wa ulichoandika hakuna uchawi wala kulogwa. Kwa hiyo familia zoote ambazo watu wake hawajapiga hatua ni wamelogwa. Labda uongeze nyama kidogo kwenye maelezo yako. Vinginevyo pambana na uondoe hizo fikra

Ningeweza kwenda mbali zaidi katika maelezo yangu ila kiukweli kuna watu hata uwaambie nini wataleta dhihaka tu wengine watahukumu, ninawasamehe hawajui watendalo. Nadhani kwa mahitaji ya uzi huu, maelezo muhimu niliyoweka yanajitosheleza, swali ni kama mtu akisoma anaamini ninachoandika ni kweli au hapana.

Hata ningesema nitoe maneno 'la kishirikina' isingebadilisha mtizamo wao.

Kuna wengine wanaona ni sahihi zaidi kuwa na mtizamo kuwa labda nilimuangalia vibaya yule mtu, au alikuwa ananishika sura kwa upendo (wakati mimi nalalamika kuingiziwa vidole machoni) lakini wanakataa kabisa kuweka uwezekano kuwa labda nisemalo ni kweli. Watu hao unawasaidiaje? Wazungu wanaita compassion (tafsiri tafadhali?). Watanzania wengi hatuna compassion na matatizo ya wengine.
 
Mmmh umeguswa machoni tu unaamini ni sababu ya downfalls zako?
 
Mabibi na Mabwana wa JF,

Naandika uzi huu hii ikiwa mara ya kwanza kabisa mimi kushare habari hii mahali popote. Sijawahi kumwambia mtu, hata familia yangu haijui kuhusu hili.

Nalileta kwenu kwa sababu nimenuia kabisa hili suala lazima nilitatue mwaka huu. Najaribu kuendelea kutambua watu ambao wanaweza kunisaidia kwa sababu nguvu inayonishikilia naona inaendelea kukaza kamba kweli kweli yaani siyo utani.

Kiufupi, kuna siku moja nikiwa kijana mdogo nilikuwa napanda basi wakati naelekea kukaa kwenye siti njiani nikapishana na mtu mmoja amevaa baibui jeusi amejifunika hadi usoni. Ilikuwa ni hapa hapa Dar es Salaam. Nakumbuka hadi kituo nilichokuwa nimepanda. Wakati napishana naye akaniwekea vidole machoni. Mimi nikapata kama bumbuazi fulani hivi yeye nadhani akashuka.

Kiufupi, maisha yangu hayajawa sawa toka wakati huo. Mimi ni mtu mwenye uwezo sana kiakili ila hata chuo niliishia katikati tena GPA yangu ikiwa ya juu. Wenzangu wamesogea sana na wengine wanaitwa waheshimiwa sasa hivi wakati mimi nimekuwa mtu ambaye hata nijaribu vipi niko pale pale. Na hata familia yangu kiujumla ukianzia kaka na dada zangu wana hali fulani ya kuhangaika tu wote. Tungeweza kufanya mambo makubwa binafsi na hata pamoja ila hakuna tunaloweza kuonyesha mpaka sasa.

Story yangu ni ndefu sana na nimepitia mengi mno nisingependa kuyaelezea hapa.

Kuna wakati tukio hili huwa linaondoka kwenye fikra zangu ila kuna wakati vitu fulani vinatokea mfululizo halafu nakumbuka siku ile.

Mimi ni mtu wa maombi, najaribu sana kuwa hivyo. Sijakata tamaa na sitakata tamaa, lakini najiulizaga nitasubiri mpaka lini?

Naomba ushauri tafadhali. Hali yangu lazima ibadilike sasa hivi.
Uzi umepanga kuwadhalilisha waislamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom