mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Pamoja na kuwa haya ndio majiji makubwa nchini, kwa Mwanza suala la kumjali mteja ktk sekta ya ulaji ni ziro kama sio chini ya ziro.
Mfano mama ntilie...
Dar...
.wako shapushapu...
.Wanamthamini mteja utadhani wanamjua miaka mingi...
.Wanajua kupromote chakula wanachokiuza hata kama hakina kiwango...
.Muda wa kukaribishwa hadi kula ni mfupi sana...
.wasafi kidogo japo sio sana...
.wana lugha ya ushawishi kuanzia bosi hadi wahudumu wake...
Mwanza
.Wengi wamezubaazubaa...
.unaweza ukatumia kama dakika tano kumuelimisha unachotaka muhudumu...
.Hawajali Muda wa mteja wao...
.Lugha zao sio za kumbembeleza na kumshawishi mteja, wengi wanaona kama wewe ndio unawasaidia...
.Pamoja na kuwa karibu na ziwa la maji baridi lkn wengi sio wasafi sana.
.Ni kawaida mteja kuja nao wakawa wanakuangalia huku wakipiga story na kujishauri jinsi ya kuamka kuja kukuhudumia.
Mfano mama ntilie...
Dar...
.wako shapushapu...
.Wanamthamini mteja utadhani wanamjua miaka mingi...
.Wanajua kupromote chakula wanachokiuza hata kama hakina kiwango...
.Muda wa kukaribishwa hadi kula ni mfupi sana...
.wasafi kidogo japo sio sana...
.wana lugha ya ushawishi kuanzia bosi hadi wahudumu wake...
Mwanza
.Wengi wamezubaazubaa...
.unaweza ukatumia kama dakika tano kumuelimisha unachotaka muhudumu...
.Hawajali Muda wa mteja wao...
.Lugha zao sio za kumbembeleza na kumshawishi mteja, wengi wanaona kama wewe ndio unawasaidia...
.Pamoja na kuwa karibu na ziwa la maji baridi lkn wengi sio wasafi sana.
.Ni kawaida mteja kuja nao wakawa wanakuangalia huku wakipiga story na kujishauri jinsi ya kuamka kuja kukuhudumia.