Hussayn yahaya
Member
- May 12, 2016
- 19
- 2
Naomba nijuzwe kuna utofauti gani mtu akiomba NACTE au TCU?
Na je NACTE wanaitaji watu kuanzia ngazi gani na TCU wanaitaji kuanzia ngazi gani pia?
N;B kama nimekosea sehemu nisamehe ila naomba majibu sahihi fatadhari!
AHSANTENI MUWE NA MCHANA MWEMA.
Na je NACTE wanaitaji watu kuanzia ngazi gani na TCU wanaitaji kuanzia ngazi gani pia?
N;B kama nimekosea sehemu nisamehe ila naomba majibu sahihi fatadhari!
AHSANTENI MUWE NA MCHANA MWEMA.