Kuna tofauti gani kati ya wale na huyu?

Membe hajafukuzwa kwa sababu ya kuleta upinzani ndani ya CCM kwenye Uraisi, bali kafukuzwa sababu ya sabotage na snitching, wana infos nyingi kuhusu yeye kwamba ana undermine nchi yetu, hiyo ndiyo sababu pekee kwa maoni yangu, ikumbukwe kwamba Membe amekaa Mambo ya nje kwa miaka 10 hivyo anajua mengi hata siajabu aliokuwa anatoa michongo kwa foreign agents na ndege yetu kukamatwa ni yeye Membe, ...
 
Nyani Ngabu, Membe hawezi kwenda upinzani. Membe alikuwa anajijenga kuelekea 2025. Sema tatizo la jiwe hajiamini lkn ukweli hakuna mtu akiwemo membe ambaye angempinga mwaka huu 2020. Membe atarejea ccm km ccm itabaki maana nna wasiwasi ccm ikamfia mkononi jiwe. Watu anaofanya nao kazi jiwe wote hawaaminiki. Kwenye safu yake yote watu pekee watiifu kwake ni H.polepole,benson bana na gerson msigwa wengine wote ni nidhamu ya woga tu na hawa ndo wanakuja kumuumbua jiwe,
Tuache masihara, CCM isife kwa JK ife kwa Jiwe? Kwa upepo huu? Mnajidanganya sana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They were leading a group to fabricate wrong doings and get members particularly in the CC to revolt! Hawakuchukua fomu za kugombea uenyekiti/kuonyesha nia wakafukuzwa kama membe alivyotia nia leo wakamtimua
We jamaa ni mjinga, zitto kafukuzwa 2013, uchaguzi wa mwenyekiti 2014 sasa hapo angechukua vipi form wakati tiyari kishafukuzwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wote hawakufukuzwa uanachama, Zito alijifukuza mwenyewe automatically baada ya kwenda mahakamani.

Prof Mkumbo alijitoa mwenyewe baada ya kuondolewa kwenye uongozi ndani ya chama.

Mwigamba aliamua kwenda ACT baada ya kupewa lile onyo.

Chadema wanamifumo bora ya kinidhamu na utoaji haki kwenye chama chao kuliko chama chochote cha siasa hapa nchini.
They were leading a group to fabricate wrong doings and get members particularly in the CC to revolt! Hawakuchukua fomu za kugombea uenyekiti/kuonyesha nia wakafukuzwa kama membe alivyotia nia leo wakamtimua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wote hawakufukuzwa uanachama, Zito alijifukuza mwenyewe automatically baada ya kwenda mahakamani.

Prof Mkumbo alijitoa mwenyewe baada ya kuondolewa kwenye uongozi ndani ya chama.

Mwigamba aliamua kwenda ACT baada ya kupewa lile onyo.

Chadema wanamifumo bora ya kinidhamu na utoaji haki kwenye chama chao kuliko chama chochote cha siasa hapa nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa kuweka historia sawa.
 
Nyani Ngabu, Membe hawezi kwenda upinzani. Membe alikuwa anajijenga kuelekea 2025. Sema tatizo la jiwe hajiamini lkn ukweli hakuna mtu akiwemo membe ambaye angempinga mwaka huu 2020. Membe atarejea ccm km ccm itabaki maana nna wasiwasi ccm ikamfia mkononi jiwe. Watu anaofanya nao kazi jiwe wote hawaaminiki. Kwenye safu yake yote watu pekee watiifu kwake ni H.polepole,benson bana na gerson msigwa wengine wote ni nidhamu ya woga tu na hawa ndo wanakuja kumuumbua jiwe,
Whaaat? Membe ajiandae kwa 2025? Hiyo ndoto wala hawezi kuiota na anajua hivyo. Ndiyo maana alikuwa anaweweseka sasa hivi (japo wala asingefanikiwa hata kama angekuwa ndani ya CCM). Chance ya Membe kuwa rais ilikuwa ni 2015 na alikuwa amepania kweli kweli. Kwa kifupi alishajihakikishia urais ndiyo maana mpaka sasa kichwa chake hakijakaa sawa. Na kingine: tuchukulie alikuwa na lengo la 2025, basi atakuwa mzembe kweli kweli kutumia njia alizotumia ''kujiandaa''. Alikuwa anajibomoa na siyo kujiandaa.
 
Tuache masihara, CCM isife kwa JK ife kwa Jiwe? Kwa upepo huu? Mnajidanganya sana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
ila Jiwe ni mwanasiasa mjanja kuliko hata JK. Hakuna sasa hivi sijui cha mtoto wa Mjini wala nini. Ni kawaida wakati uchaguzi unakaribia waliotangulia walikuwa wanalegeza kidogo nyongeza za mshahara vitu kushuka Jiwe wala hata hajali kashatucontained. Sasahivi wajanja tutamuacha atawale tu atakavyopenda bora mkono uende kinywani
 
Write your reply...Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM /upo ccm kwa sasa. Jasusi ataomba po baada ya mhula wa prezda huyu ni mtifuano.
 
Whaaat? Membe ajiandae kwa 2025? Hiyo ndoto wala hawezi kuiota na anajua hivyo. Ndiyo maana alikuwa anaweweseka sasa hivi (japo wala asingefanikiwa hata kama angekuwa ndani ya CCM). Chance ya Membe kuwa rais ilikuwa ni 2015 na alikuwa amepania kweli kweli. Kwa kifupi alishajihakikishia urais ndiyo maana mpaka sasa kichwa chake hakijakaa sawa. Na kingine: tuchukulie alikuwa na lengo la 2025, basi atakuwa mzembe kweli kweli kutumia njia alizotumia ''kujiandaa''. Alikuwa anajibomoa na siyo kujiandaa.
Kwani kuutaka urais kwa njia ya kura si ndio demokrasia au...angetafuta kwa njia zingine ingekuwa uhaini,na mi huwa nawashangaa wa Tanzania sibtulikubaliana uongozi utafutwe kwa kupigiwa kura sasa hata mimi nina haki ya kugombea urais kwenye chama chochote ikiwemo Ccm kama sina sifa wajumbe watanipia chini,kosa la Membe lipo wapi? Kama anaota au haoti wapiga kura wataamua chuki ya nini? Kama mnaona hafai gombeeni nyie mumshinde lakini haya mengine mtaharibu nchi.
 
Membe hajafukuzwa kwa sababu ya kuleta upinzani ndani ya CCM kwenye Uraisi, bali kafukuzwa sababu ya sabotage na snitching, wana infos nyingi kuhusu yeye kwamba ana undermine nchi yetu, hiyo ndiyo sababu pekee kwa maoni yangu, ikumbukwe kwamba Membe amekaa Mambo ya nje kwa miaka 10 hivyo anajua mengi hata siajabu aliokuwa anatoa michongo kwa foreign agents na ndege yetu kukamatwa ni yeye Membe, ...
Hizi ni hisia tu, Membe ameonewa sema hicho chama hakuna pa kukata rufaa. Magufuli alipaswa amuite atolee sababu kila kilicho muhukumu, lakini hakuna hiyo nafasi.

Mimi binafsi nina maoni tofauti kwenye hili.

Magufuli alianza kuwashughulikia wagombea wenzake wa 2015 taratibu, ukikukbuka kuanzia kina Prof.Mwandisya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January ... hadi Membe ni muendelezo wa kuwashughulikia wote waliokuwa na Majina then, au nafasi ya kugombea huko baadaye.

Yeye alihakikisha kila mmoja anampa kashfa yake kwa umma wa watanzania ili 2020 awe peke yake na wale waliokuwa na nia na urais alihakikisha anawadhalilisha kwa kila namna kwenye umma wa watanzania ili wasije kuibuka siku moja na kutamani kugombea.

Yeye anawatengeneza watu wake, tatizo alilonalo watu wake anaowatengeneza hawana mvuto kwenye jamii ya kitanzania au hwakubaliki. Yeyote unayedhani anakubalika ukimtaja tu watanzania wanachefukwa.

Ndiyo kaweza kuwaharibia wapinzani wake wote, je 2025 atawampendekeza nani, Makonda au Doto James?
 
Kwani kuutaka urais kwa njia ya kura si ndio demokrasia au...angetafuta kwa njia zingine ingekuwa uhaini,na mi huwa nawashangaa wa Tanzania sibtulikubaliana uongozi utafutwe kwa kupigiwa kura sasa hata mimi nina haki ya kugombea urais kwenye chama chochote ikiwemo Ccm kama sina sifa wajumbe watanipia chini,kosa la Membe lipo wapi? Kama anaota au haoti wapiga kura wataamua chuki ya nini? Kama mnaona hafai gombeeni nyie mumshinde lakini haya mengine mtaharibu nchi.
Nadhani sasa umeelewa kuwa wapiga kura si waamuzi wa nani awaongoze.
 
Kwani kuutaka urais kwa njia ya kura si ndio demokrasia au...angetafuta kwa njia zingine ingekuwa uhaini,na mi huwa nawashangaa wa Tanzania sibtulikubaliana uongozi utafutwe kwa kupigiwa kura sasa hata mimi nina haki ya kugombea urais kwenye chama chochote ikiwemo Ccm kama sina sifa wajumbe watanipia chini,kosa la Membe lipo wapi? Kama anaota au haoti wapiga kura wataamua chuki ya nini? Kama mnaona hafai gombeeni nyie mumshinde lakini haya mengine mtaharibu nchi.
Kwenye maandiko yangu mbona sijasema kutafuta kura ni uhaini? Mbona sijasema kutafuta kura ni kosa? Nilichozungumzia ni ''kosa'' lake la kimkakati. Nikupe mfano: wewe kutembea kwenye jiji kubwa kama Dar muda wowote ni haki yako siyo? Mbona huwezi kutumia haki hiyo kukatiza mitaa yenye vibaka usiku wa manane? Jibu ni kuwa utakuwa unafanya kosa la kimkakati japo ni haki yako.
 
Hatimaye siku ya siku imetimia.

CCM wamemtimua Bernard Membe.

Sababu ambayo inazungumziwa na wajuvi wa mambo ya kisiasa na siasa za Tanzania ni kwamba katimuliwa ili ashindwe kugombea uteuzi wa kuwa mgombea nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi hapo baadaye mwaka huu kwenye Uchaguzi Mkuu.

Kama angegombea uteuzi huo, basi kitendo hicho kingeandika sura mpya katika siasa za CCM kwani sikumbuki kabisa kama imewahi kutokea huko nyuma Rais kutoka CCM kupata ushindani toka ndani ya chama chake wakati wa kugombea muhula wa pili.

Kitendo hiki cha leo kimenikumbusha yaliyotokea miaka michache iliyopita katika CHADEMA.

CHADEMA waliwafukuza Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, na Samson Mwigamba kwa kile kilichodaiwa kuwa walikuwa wanasuka njama za kumuondoa Mwenyekiti wao, Bw. Freeman Mbowe.

Sasa kama hivyo ndivyo ilivyokuwa, kimsingi, kuna tofauti gani na walichokifanya CCM leo?

Sioni kilicho tofauti. Nyie mnaona?

NB: Naweza nikakosea, lakini sidhani kama Membe atadumu sana kuwa nje ya CCM. Ni suala la muda tu.

I see them kissing and making up at some point....
Kwani kwa muda wote aliokaa serikalini hajavuna pesa za kutosha kuweza kuishi maisha anayoyataka au kuna kingine anatafuta ?
 
Nyani Ngabu, Membe hawezi kwenda upinzani. Membe alikuwa anajijenga kuelekea 2025. Sema tatizo la jiwe hajiamini lkn ukweli hakuna mtu akiwemo membe ambaye angempinga mwaka huu 2020. Membe atarejea ccm km ccm itabaki maana nna wasiwasi ccm ikamfia mkononi jiwe. Watu anaofanya nao kazi jiwe wote hawaaminiki. Kwenye safu yake yote watu pekee watiifu kwake ni H.polepole,benson bana na gerson msigwa wengine wote ni nidhamu ya woga tu na hawa ndo wanakuja kumuumbua jiwe,
Makonda unamuachaje kwenye safu ya maguu?
 
Hatimaye siku ya siku imetimia.

CCM wamemtimua Bernard Membe.

Sababu ambayo inazungumziwa na wajuvi wa mambo ya kisiasa na siasa za Tanzania ni kwamba katimuliwa ili ashindwe kugombea uteuzi wa kuwa mgombea nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi hapo baadaye mwaka huu kwenye Uchaguzi Mkuu.

Kama angegombea uteuzi huo, basi kitendo hicho kingeandika sura mpya katika siasa za CCM kwani sikumbuki kabisa kama imewahi kutokea huko nyuma Rais kutoka CCM kupata ushindani toka ndani ya chama chake wakati wa kugombea muhula wa pili.

Kitendo hiki cha leo kimenikumbusha yaliyotokea miaka michache iliyopita katika CHADEMA.

CHADEMA waliwafukuza Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, na Samson Mwigamba kwa kile kilichodaiwa kuwa walikuwa wanasuka njama za kumuondoa Mwenyekiti wao, Bw. Freeman Mbowe.

Sasa kama hivyo ndivyo ilivyokuwa, kimsingi, kuna tofauti gani na walichokifanya CCM leo?

Sioni kilicho tofauti. Nyie mnaona?

NB: Naweza nikakosea, lakini sidhani kama Membe atadumu sana kuwa nje ya CCM. Ni suala la muda tu.

I see them kissing and making up at some point....
Umetumia Whataboutism
 
Back
Top Bottom