Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
Sawa mkuuKachero Mbobezi
Sawa mkuuKachero Mbobezi
Umempoteza Hakuna neno la Mkurugenzi Mtendaji kwenye hilo bandiko lake, acha kujifanya unajua kumbe hujui hapo kuna maaana mbili tofautiPamoja kwamba "mods" wamebadili ulichokuwa umekusudia kuuliza, bado kimsingi Katibu Mkuu (General Secretary au Secretary General) ni neno linalomaanisha kitu kimoja, yaani Mkurugenzi Mtendaji ambalo hupendwa kutumiwa na mashirika ya kimataifa, yasiyo ya faida, na ya kisiasa. Mengine hutumia "Executive Secretary". Hapa nchini tunatumia km Serikalini Katibu Mkuu Kiongozi (Chief Secretary) ambaye ni kiongozi wa Makatibu Wakuu (Permanent Secretaries).
Shughuli za Katibu Mkuu zinajumuisha shughuli za "Secretary" au Katibu katika kiswahili, ambaye ni mtu anayefanya kazi za kumsaidia mkuu wa shughuli yoyote ya kiofisi.
Mbona mnamlazimisha na neno The? Yeye hataki hilo neno na the haiingiii kwenye maneno anayoyasemaHili neno "The" sio mimi niliyeliweka bali ni Mods ndio wame-edit na kuliweka.
Hata kama mimi nilipata division 4 ya mwisho kidato cha nne miaka kadhaa nyuma, kweli nisijue tofauti ya kuweka na kutokuweka "The" katika sentensi au neno?
Hili neno "The" sio mimi niliyeliwekaMbona mnamlazimisha na neno The? Yeye hataki hilo neno na the haiingiii kwenye maneno anayoyasema
I see. Upo vizuri sana...Umempoteza Hakuna neno la Mkurugenzi Mtendaji kwenye hilo bandiko lake, acha kujifanya unajua kumbe hujui hapo kuna maaana mbili tofauti
Hii Nchi imetoka mbali yale mawazo na ndoto za Nyerere yanaanza kutekelezwa na Rais Magufuli.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?
Tafadhali tazama screenshots hapo chini;
The Secretary General
View attachment 1575007
The General Secretary
View attachment 1575008
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Sawa mkuu uvccmHii Nchi imetoka mbali yale mawazo na ndoto za Nyerere yanaanza kutekelezwa na Rais Magufuli.
Aliwatetea Mabeberu baada ya kuona maji yamezidi Unga yakaja kuomba radhi kwa Rais Magufuli.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?
Tafadhali tazama screenshots hapo chini;
The Secretary General
View attachment 1575007
The General Secretary
View attachment 1575008
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kama ulikuwa hujui neno "Secretary" wamelitohowa kwenye neno la msingi "SECRET" kwa lugha yetu "SIRI" ambaye ni mtu anayetunza "siri" za mkuu (boss) wake au Taasisi/Kundi/jumuiya iliyomwajiri.Umempoteza Hakuna neno la Mkurugenzi Mtendaji kwenye hilo bandiko lake, acha kujifanya unajua kumbe hujui hapo kuna maaana mbili tofauti
Mtendaji Mkuu (secretary general)
Na
Katibu Mkuu ( general secretary)
Asante kwa kunipa elimu nzuri mkuuKama ulikuwa hujui neno "Secretary" wamelitohowa kwenye neno la msingi "SECRET" kwa lugha yetu "SIRI" ambaye ni mtu anayetunza "siri" za mkuu (boss) wake au Taasisi/Kundi/jumuiya iliyomwajiri.
Kama ulikuwa hujui neno "Secretary" wamelitohowa kwenye neno la msingi "SECRET" kwa lugha yetu "SIRI" ambaye ni mtu anayetunza "siri" za mkuu (boss) wake au Taasisi/Kundi/jumuiya iliyomwajiri.
Hahahahahaaa eti INFANT umenichekesha sana mkuuMkuu, Lakini "Etymology" ya hilo neno iko wapi??, Sababu anaweza akaja mtu naye akasema; neno Infantry limetokea kwenye neno "infant"..
Hahahahahaaa eti INFANT umenichekesha sana mkuu
Sawa mkuu