Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?

Tafadhali tazama screenshots hapo chini;

The Secretary General
images (57)asddd.jpg


The General Secretary
images (57)asdddzxcdsssss.jpg


USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Ninaomba ufafanuzi wa wataalam please.
Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.

Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.

Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
 
Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.

Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.

Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Kwahiyo?
 
Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.

Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.

Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Naona Mods wame edit hiyo heading. Swali langu original ni hili hapa;

Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?
 
Hili jambo nakumbuka lilishajadiliwa kipindi cha nyuma. Tafadhali tafuta uzi wenye heading;
1. General secretary
2. Secretary general
3. Chief secretary

Wasalaam!
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?

Tafadhali tazama screenshots hapo chini;

The Secretary General
View attachment 1575007

The General Secretary
View attachment 1575008

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ngoja wajuzi wa masuala haya waje.
 
Mkuu, hayo mambo ya "The" mimi wala sijayauliza. Mods ndio wame-edit heading na kuweka hiyo "The"
Sawa mkuu...
Pamoja kwamba "mods" wamebadili ulichokuwa umekusudia kuuliza, bado kimsingi Katibu Mkuu (General Secretary au Secretary General) ni neno linalomaanisha kitu kimoja, yaani Mkurugenzi Mtendaji ambalo hupendwa kutumiwa na mashirika ya kimataifa, yasiyo ya faida, na ya kisiasa. Mengine hutumia "Executive Secretary". Hapa nchini tunatumia km Serikalini Katibu Mkuu Kiongozi (Chief Secretary) ambaye ni kiongozi wa Makatibu Wakuu (Permanent Secretaries).

Shughuli za Katibu Mkuu zinajumuisha shughuli za "Secretary" au Katibu katika kiswahili, ambaye ni mtu anayefanya kazi za kumsaidia mkuu wa shughuli yoyote ya kiofisi.
 
Back
Top Bottom