Kuna tofauti gani kati ya school candidate na PC kwa mitihani ya form six?

tofauti ziko katik vigezo vifuatavyo.
1... muda wa kusoma.
2.. mfumo wa kusoma (mode)
3.. Umri mwananafunzo.

PC husoma muda mfupi
SC husoma kwa muda mrefu.

PC hujisomea popote anapojisikia
SC husoma katika mfumo rasmi (shulen)

PC mara nyiingi ni adult learner (WATU WAZIMA)
SC mara nyingi ni watoto (freshers)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guyz naombeni mnijuze ni nini tofauti kati ya PC na school candidate kwenye mitihani ya form six???

Sent using Jamii Forums mobile app
tofauti ziko katik vigezo vifuatavyo. <br />1... muda wa kusoma. <br />2.. mfumo wa kusoma (mode) <br />3.. Umri mwananafunzo. <br /><br />PC husoma muda mfupi <br />SC husoma kwa muda mrefu. <br /><br />PC hujisomea popote anapojisikia <br />SC husoma katika mfumo rasmi (shulen) <br /><br />PC mara nyiingi ni adult learner (WATU WAZIMA) <br />SC mara nyingi ni watoto (freshers) <br /><br />Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom