8*2 ina maana zaidi ya watu na machungwa,watu na machungwa ni mfano mmoja tu kati ya mamilioni ya mifano,mfano huu ni wa level ya chini sana(ni kwa darasa la 1-3 labda) uking'ang'ania hayo machungwa yako utatengeneza barier ya kuelewa hesabu,maana zero ina definition zaidi ya"hakuna kitu"
Engager hujanielewa 2,niliposema kuwa ni concept za chini,nilimaanisha ni za madarasa ya 1 2 na 3,ila sikuzishusha thamani,kwani hata mbuyu ulianza kama mchichahata wagunduzi wa vitu vikubwa walianza na concerpt za chini sana. iweje wewe ambaye hata kutengeneza baiskeli tu huwez unazbeza?
Jibu ili swali: Is Zero Really a Number or Just a Concept?sifuri sio infinity mkuu.
Zero is even or odd?
mtazamo wangu ni kwamba, tunaposema lets say 8×3=24 katika hisabati na uhalisia ni kwamba...(chukulia mfano huohuo wa machungwa). unatoka Moro kwenda Dodoma kufuta machungwa. ukaenda trip tatu (3). Trip1 ukachukua machungwa 8. hesabu yako itakuwa machungwa 8 kwa trip moja utakuwa na hayo hayo 8. ie 8×1=8. haya, utakwenda mara(trip) ya pili utachukua nane. ukiongeza kwenye stock ya mwanzo yatakuwa 16. ie 8×2=16. utakwenda tena mara ya tatu utaleta mchungwa 8, utaongeza kwenye yale 16 yatakuwa 24. kwa hyo tunasema umefuata safari tatu na kila safari ulileta machungwa 8. kwa hiyo unamachungwA 24. (8×3=24 au 8+8+8=24).
sasa hebu fikiria. Uko Moro, huna machungwa. Dodoma kuna machungwa mengi tu. sasa unataka ufuate machungwa 8. (kumbuka wakati huo huna mchungwa ila sasa unataka kufuata.) sasa unafuata machungwa 8 mara sifuri. kwa kifupi ni kwamba hujafuta trip yoyote japo ulitaka kufuata matunda8. kwa hiyo utaendelea kuwa huna kitu. ndio maana 8×0=0 au hata 0×3=0; kwamba umekwenda Dodoma safari tatu kufuata machungwa.lakini kila safari uliyoenda hukurudi na kiru (machungwa sifuri). unadhani baada ya safari hzo 3 utakua umekusanya kiasi gani?..........
mtazamo wangu ni kwamba, tunaposema lets say 8×3=24 katika hisabati na uhalisia ni kwamba...(chukulia mfano huohuo wa machungwa). unatoka Moro kwenda Dodoma kufuta machungwa. ukaenda trip tatu (3). Trip1 ukachukua machungwa 8. hesabu yako itakuwa machungwa 8 kwa trip moja utakuwa na hayo hayo 8. ie 8×1=8. haya, utakwenda mara(trip) ya pili utachukua nane. ukiongeza kwenye stock ya mwanzo yatakuwa 16. ie 8×2=16. utakwenda tena mara ya tatu utaleta mchungwa 8, utaongeza kwenye yale 16 yatakuwa 24. kwa hyo tunasema umefuata safari tatu na kila safari ulileta machungwa 8. kwa hiyo unamachungwA 24. (8×3=24 au 8+8+8=24).
sasa hebu fikiria. Uko Moro, huna machungwa. Dodoma kuna machungwa mengi tu. sasa unataka ufuate machungwa 8. (kumbuka wakati huo huna mchungwa ila sasa unataka kufuata.) sasa unafuata machungwa 8 mara sifuri. kwa kifupi ni kwamba hujafuta trip yoyote japo ulitaka kufuata matunda8. kwa hiyo utaendelea kuwa huna kitu. ndio maana 8×0=0 au hata 0×3=0; kwamba umekwenda Dodoma safari tatu kufuata machungwa.lakini kila safari uliyoenda hukurudi na kiru (machungwa sifuri). unadhani baada ya safari hzo 3 utakua umekusanya kiasi gani?..........
How comes ?ugawanye kwa sifuri upate vipande vidogo?
Wa Hapa Hapa.
Zero is even or odd Number?
iss sio 2012 sio?naam, nimekusoma mkuu.. nimejaribu kuichanganua kwa kichwa na nime realize kitu unachokisema.. una machungwa nane na ukayazidisha kwa sifuri iweje upate sifuri??? Je! yale machungwa nane yatakua yamepotelea wapi?? kwa akili za kikawaida machungwa nane ukiyazidisha kwa sifuri ayataongezeka wala kupungua bali yatabaki vile vile, nimekubaliana na hoja yako mkuu