Chacha alipokea cha Kabouru.John Heche kapokea Kijiti cha Sumaye kama Sumaye alivyopokea cha Zitto kama Zitto alivyopokea cha Chacha Wangwe
Mie naunga mkono juhudi za Feeeman Mbowe
Mbowe mjanja sana , kimya cha Lissu kilimvuruga akajikuta kamtega awanie U Makamu mwenyekiti ili yeye abaki kwenye ‘ardhi yenye rutuba ‘