Kumekuwa na tetesi za muda mrefu ambazo zninatokana na wanachama wa CHADEMA wanaonesha nia ya kugombea uongozi taifa kwa ngazi ya uenyekiti madhara yanayo watokea na figisu zinazo watokea zipo zimeweza kudhibitishwa na kudhibitika ipo mifano kadhaa ya wazi ya baadhi ya wanasiasa hao wamefukuzwa au kuhama chama kwa tuhuma nzito zinazo wafanya wahame au waokufukuzwa katika mazingira pia na matukio mengine mengi hatarishi ambayo yamekuwa yakiwatokea na kuyahushishwa matukio hayo na nia zao za kuonesha nia ya kugombea kiti cha uenyekiti taifa kilinachokaliwa na Mhe. Mbowe kwa zaidi ya miaka 15 sasa
Pia kutokana na kasheshe hii ya ngazi ya mwenyekiti taifa ndani ya CHADEMA kuwa ni ngumu kuipata na nafasi ambayo haigusiki kwa zaidi ya miaka hiyo pia katika mkutano wake aliekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, kanda ya Pwani na waziri mkuu mstafu wa jamhuri wa muungano wa Tanzania amewaeleza na kuwathibitishia waandishi wa habari jinsi na namna amabavyo amefikwa na kadhia hizo ambazo hata walio tangulia na kupitia hayo wali wahi kueleza ndiyo yale yale Mhe. SUMAYE amekithibitisha mbele ya waandishi wa habari. Mbali na SUMAYE pia wapo wanachama wamejitokeza na kutoa malalamiko yao akiwemo KUBENEA, KOMU na MWAMBE hii ndyo hali iliyo ndani ya chama kinacho jinasibu kuwa cha Demokrasia .
Ofisi ya msajili wa vyama nchini atuambie kanuni na masharti gani ambayo yanakiukwa na vyama vya siasa ktk mfumo wa kujiiendesha na kama zipo kanuni zinazokiukwa ni hatua gani? zistahili kuchukuliwa dhidi ya vyama hivyo kwani malalamiko haya hayaja anza kusikika leo baada ya Mhe. Sumaye huu ni mwendelezo tu matukio ya aina hii kuendelea kutokea ambayo bila shaka mwelekeo wake siyo mzuri kwa usitawi na ukuwaji wa demokrasia nchini.
View attachment 1281576