Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,993
sio sababu ya kushughulikiwa...
Afadhali basi angekuwa na hoja za ushawishi kama Tundu Lissu
Afadhali basi angekuwa na hoja za ushawishi kama Tundu Lissu
Unaipima CDM mtandaoni, chama kina vikao rasimi mkuu, huku wengi ni washabiki tu. Nilidhani una akili kumbe nawe ni hewa, chama ni vikao siyo majungu ya JF
Nani ameshughulikia ameshindwa uchaguzisio sababu ya kushughulikiwa...![]()
Uenyekiti wa Chama na Uraisi ni vitu viwil tofauti mkuu
Mku kwani Katiba ya Chadema inasema ili mtu awe mwenyekiti hapo anatakiwa kuwa amehamia kwa kipindi gani? Watu wapenda Dimokrasia hawatajisumbua kugombea. Bhana Uenyekiti una raha zake.Sumaye Kaja Chadema Juzi halafu awe mwenyekiti wa Taifa ni aibu.
Huyu Komu, Kubenea, na Mwambe wasipohamia CCM kabla ya 2020 Njoo hapa nidai 100,000
Hivi magufuli na Mangula walisindanishwa na nani? Wakati wanagombea mwaka 2016huna choice... hata akisema sitaki uenyekiti utapongeza pia....![]()
wanao kaa vikao hivyo usisahau wapo humu piaUnaipima CDM mtandaoni, chama kina vikao rasimi mkuu, huku wengi ni washabiki tu. Nilidhani una akili kumbe nawe ni hewa, chama ni vikao siyo majungu ya JF
eheheMku kwani Katiba ya Chadema inasema ili mtu awe mwenyekiti hapo anatakiwa kuwa amehamia kwa kipindi gani? Watu wapenda Dimokrasia hawatajisumbua kugombea. Bhana Uenyekiti una raha zake.
umenena alafu chadema ndiyo nimegundua Leo kuwa wao hawana worship team wana worship churchesKiukwel akili zangu ni tofauti na zako.mimi ni hewa at least inasaidia katika uhai maana mtu akikosa hewa anafariki.
Mimi akili yangu ingefanana na yako ngejiua.ingekuwa bora nife kuliko kuishi ndondocha. Nlikataa kushikiwa akili na sitokubali kwa hilo.
Mkuu tatizo lako unadhani chadema iko Jf, chama kina ofisi na vikao rasimi, ulishawahi peleka malalamiko yako? au unadhani kuandika majungu JF ndo kuikishauri chama?Kiukwel akili zangu ni tofauti na zako.mimi ni hewa at least inasaidia katika uhai maana mtu akikosa hewa anafariki.
Mimi akili yangu ingefanana na yako ngejiua.ingekuwa bora nife kuliko kuishi ndondocha. Nlikataa kushikiwa akili na sitokubali kwa hilo.
Huenda wanaridhika na ruzuku.... Na hali itakua hivihivi NCCR, CUF, CDM na ACT vyote vitapita na hakuna lolote litakalo badilikaCDM mtu yeyote anayewakosoa wanamchukulia kama ni CCM ila mtu yeyote anayewasifia wanadhani ni mwenzao.
Wapinzani kiuhalisia bado sana kuwa chama tawala.hata kwa miaka 30 mbele bado.hawajielewi hawajajipanga.
Hapo kinachofanyika vizuri ni kulinda kiti cha Mkiti. basi.Kuna sababu kwa nini mpaka leo hicho chama kimesimama tofauti na vile vingine ,pamoja na makombora na propaganda kinayotupiwa.......bado natafakari. Ila kuna kitu wanakifanya vizuri otherwise hizi kelele zisingekuwepo.
Ni kweli chadema inaendeshwa kwa siasa za ukanda ?Tatizo hakuna mkaskazini aliyeandaliwa kumrithi Mbowe....... ndiposa wanafikiria ubishani ukizidi itabidi Halima Mdee avae viatu vya Mbowe!
Hivi magufuli na Mangula walisindanishwa na nani? Wakati wanagombea mwaka 2016
Nani ameshughulikia ameshindwa uchaguzi
Kama sumu haijaribiwiSumu haijaribiwi kwa kuiramba!!!!
Uenyekiti sumu kali!!!!!
Upinzani sumu kali!!!!!
Sitaki uenyekiti!!Sitaki upinzani!!!Sitaki siasa!!!
Hahaaaa Dj wa bilcanas huyoMafiosoo Mbowe
Mwacheni huyo ni mtoto wa mjini
Nimekupata mkuuTafuta uzi wowote ninaomuunga mkono Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, ukiupata nipigwe ban ya maisha hapa jf. Mimi sikubaliani kabisa na Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti ndani ya cdm kwa utetezi wowote ule, lakini siko tayari kuona hayo matakataka ya ccm kupewa madaraka ndani ya cdm. Hivyo ni vyema hayo matakataka toka ccm yaungane na Mbowe kupisha kiti cha uenyekiti.
uenyekiti ni zaidi ya Uraisi?
kweli sumu haionjwi