gaba peter
Senior Member
- Jan 7, 2016
- 178
- 65
Mimi kuona tu hiyo avatar yako nimeenda kujilipua kimoja... Dah wee acha tuMkuu naona umepata kisingizio cha kujitetea badala ya kutafuta suluhu ya tatizo wewe unatafuta nani wa kumlaumu. Watanzania tuna shida sana yaani khaaa

Dah pole saaana mkuu jitahid yan jikaze usipige tename leo nimejilipua asee daa bado cku nne ningemaliza mwezi
kwa mtu asiyejua hawezi elewa hii kitu, kuna wakati mizuka ikija unahisi pumzi inakata, unaweza chomoka hata church unaenda toilet unakitupa kimoja unarudi kwenye ibada

Hii kitu ni siri kubwa hata usietegemea anapiga na siyo kwa wanaume tu bali pia hata kwa wanawake nao wamo katika lindi hili. Kuna wakati ilisambaa clip ya waziri wa nchi fulani akijilipua na kunaswa na cctv bila yeye kujua na kutumbuliwa na mkuu wake wakaya.Nani kakwambia walokole hawapigi punyeto?
yet u call ur'self a HB? mmmh!!!..its simple,self service,not costiful in terms of time na resources sasa kwann mtu asipige,HATUTAKI ujinga sisi
Hii kitu ni siri kubwa hata usietegemea anapiga na siyo kwa wanaume tu bali pia hata kwa wanawake nao wamo katika lindi hili. Kuna wakati ilisambaa clip ya waziri wa nchi fulani akijilipua na kunaswa na cctv bila yeye kujua na kutumbuliwa na mkuu wake wakaya.
d.r.cFor the records it tha Girls who call me thatyet u call ur'self a HB? mmmh!!!


Mnashindwa kuwapa wanawake show za kibabe, utamu wote mnaumalizia mikononi mnakera

CIO wote n wapiga nyetoMnashindwa kuwapa wanawake show za kibabe, utamu wote mnaumalizia mikononi mnakera