Kuna Siri Gani kati ya shanga na mambo ya Kiganga?

Kuna Siri Gani kati ya shanga na mambo ya Kiganga?

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,374
Reaction score
3,392
Habari wakuu?

Tukiachana na hizi shanga wanazo vaa dada zetu mama zetu au mabinti zetu

Sijui na Sina hakika kama ni ulembo tu au Kuna mambo mengine ya ziada nyuma za shanga hizo lakini sizi zungumzii hizo shanga hapana

Nime shuhudia waganga wakienyeji wakiingia kwenye majumba ya watu wakitoa vitu kama pembe frani hivi lakini mala nyingi pembe hizo Huwa zime valishwa shanga

Lakini pia majarida mengi na matangazo mengi yanayo zungumzia

mambo haya ya Tiba hizi asiri. Huwa Yana onyesha picha za vyumgu au pembe zinazo kuwa zime valishwa shanga

Lakini si hivyo tu katika zunguka zunguka zangu kwenye kujitafuta Huwa na kutana Sana na hizi shanga

Sasa naomba kujua Kuna Siri Gani kati ya shanga na mambo haya ya elimu yetu asiria?

Shanga Ina nguvu Gani katika mambo haya na kwanini shanga tu??

Karibu wakuu tufunguane akili hapa 🙏🙏🙏
 
Ayo mambo yatatolewa kwenye nyumba za maskini tuu lkn hakuna nyumba ya tajiri vitatolewa ivo vitu naongelea hili nina ushuhuda nalo
 
Kwahiyo unataka Kusema tuwaogope ma "she" wanao vaa chachandu?

Ayo mambo yatatolewa kwenye nyumba za maskini tuu lkn hakuna nyumba ya tajiri vitatolewa ivo vitu naongelea hili nina ushuhuda nalo
Kuna mengi huyajui kuhusu utajiri na naweza sema labda Bado hujakuwa kwenye utafutaji

utajiri sio kitu rahisi na ndiyo maana wachache matajiri
 
Habari wakuu?

Tukiachana na hizi shanga wanazo vaa dada zetu mama zetu au mabinti zetu

Sijui na Sina hakika kama ni ulembo tu au Kuna mambo mengine ya ziada nyuma za shanga hizo lakini sizi zungumzii hizo shanga hapana

Nime shuhudia waganga wakienyeji wakiingia kwenye majumba ya watu wakitoa vitu kama pembe frani hivi lakini mala nyingi pembe hizo Huwa zime valishwa shanga

Lakini pia majarida mengi na matangazo mengi yanayo zungumzia

mambo haya ya Tiba hizi asiri. Huwa Yana onyesha picha za vyumgu au pembe zinazo kuwa zime valishwa shanga

Lakini si hivyo tu katika zunguka zunguka zangu kwenye kujitafuta Huwa na kutana Sana na hizi shanga

Sasa naomba kujua Kuna Siri Gani kati ya shanga na mambo haya ya elimu yetu asiria?

Shanga Ina nguvu Gani katika mambo haya na kwanini shanga tu??

Karibu wakuu tufunguane akili hapa 🙏🙏🙏
Ni kweli ipo shida.Na siku hizi naona imekuwa fasheni watu kuvaa shanga mikononi,sijui hii imekaaje Mshana,hebu tusaidie
Ni sawa na lubricant kwenye mashine
Elaborate Mshana
 
Back
Top Bottom