Kuna sintofahamu urushaji wa matangazo live ya CHADEMA

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,992
10,497
Kumekuwa na sintofahamu kwa sasa kuhusiana na urushaji wa matangazo LIVE ya CHADEMA kila inapotokea kuna matangazo live ya CHADEMA kuna kitu kinatokea cha upoetezaji picha na sauti kutoonekana na pia kuwa na mikwamo mirefu.

Nimegundua kitu hiki ni kipindi cha mnyukano wasiojulikana wanafanya yao kuhakikisha CHADEMA haipati live media hii ni hujuma ambayo CHADEMA mnapaswa kuifanyia kazi ili mwende sawa.

Fanyeni jambo na nyinyi muitingishe ile yao ili mwende sawa.

MWAGA UGALI BEBA MBOGA SEPA NAYO MKAKOMBE MBELE YA SAFARI.

 
Tatizo siyo kuzimiwa sauti na picha tatizo Ni baadhi ya maneno yasiyo na sitaha kwa Taifa au personally yanayotoka katika vinywa vya baadhi ya viongozi wa CDM.

Kwa mjibu wa maadili ya vyombo vya habari hakuna chombo Cha habari kilicho tayari kurusha live Hotuba au mjadala uliojaa maneno yasiyo na busara ndani yake.

Nawashauri nyie wanasiasa tunapowapa fursa ya kuongea kwenye media zetu jaribuni kutumia maneno yenye sitaha ili kulinda maadili ya media zetu, nyie ni wapitaji tu Ila Kuna kundi kubwa la watu wanaotufatilia wenye hekima na busara zao.

Je, hizo platform mlizoanzisha nazenyewe mtakuwa mnaweka Hotuba Tata na maneno machafu ya baadhi ya viongozi wenu?
 
Tatizo siyo kuzimiwa sauti na picha tatizo Ni baadhi ya maneno yasiyo na sitaha kwa Taifa au personally yanayotoka katika vinywa vya baadhi ya viongozi wa CDM.

Kwa mjibu wa maadili ya vyombo vya habari hakuna chombo Cha habari kilicho tayari kurusha live Hotuba au mjadala uliojaa maneno yasiyo na busara ndani yake.

Nawashauri Nyie wanasiasa tunapowapa fursa ya kuongea kwenye media zetu jaribuni kutumia maneno yenye sitaha ili kulinda maadili ya media zetu.. nyie Ni wapitaji tu Ila Kuna kundi kubwa la watu wanaotufatilia wenye hekima na busara zao.

Je hizo platform mlizoanzisha nazenyewe mtakuwa mnaweka Hotuba Tata na maneno machafu ya baadhi ya viongozi wenu?.
Wee nawee ovyooo😎
Hivi huwa unamsikiliza meko anavoropokaga.
Unakumbuka maneno aliyowambia wana wa Kagera juu ya maafa yaliyowapata? Je hayo ni maneno sahihi? Mbona mliyarusha
 
Habari ya Juzi ya majaliwa kuzindua meli imekuwa ya kwanza na kuiacha habari ya membe na lissu za jana.
 
Tatizo siyo kuzimiwa sauti na picha tatizo Ni baadhi ya maneno yasiyo na sitaha kwa Taifa au personally yanayotoka katika vinywa vya baadhi ya viongozi wa CDM.
Kwa mjibu wa maadili ya vyombo vya habari hakuna chombo Cha habari kilicho tayari kurusha live Hotuba au mjadala uliojaa maneno yasiyo na busara ndani yake.

Nawashauri Nyie wanasiasa tunapowapa fursa ya kuongea kwenye media zetu jar in uno kutumia maneno yenye sitaha ili kulinda maadili ya media zetu.. nyie Ni wapitaji tu Ila Kuna kundi kubwa la watu wanaotufatilia wenye hekima na busara zao.

Je hizo platform mlizoanzisha nazenyewe mtakuwa mnaweka Hotuba Tata na maneno machafu ya baadhi ya viongozi wenu?.
Na mkuu wa nchi kulazimisha mama zetu wapanue hiyo ni staha eee.
 
Huu ni mkakati wa CCM na vyombo vyake na ulishajulikana kabla haujaanza. CCM wanajua hali yao mbaya sana mwaka huu na think tank wao walipendekeza kwanza Media zote ambazo haziko sawa na magufuli zipigwe pini. Walianza kufungia online Tv ya Maria sarungi, wakaja kufungia gazeti lenye vinasaba na Chadema Tanzania Daima.

walipoona hali mbaya hata media zilizobaki wamezitisha na wanaendelea kuzitisha Mf ni juzi Azam kufuta Posts zote za Lissu kuchukua fomu.

Naomba nikwambie kitu ndugu yangu, Watanzania wameona yote haya, wanaona yote haya. Usione wako kimya ila kwa yote haya. Usishangae Tundu Lissu akipigiwa kura nyingi kupindukia hadi yeye mwenyewe atakuwa haamini.

Nikichojifunza kwa Lissu ni kuwa Unavyozidi kumfanyia mizengwe ndo anavyokushinda kirahisi zaidi, niliona hili kwenye uchaguzi wa Chama cha wanasheria Tanganyika. Na ubaya ni kuwa CCM Safari hii wamepewa upofu na Mungu.

Tukutane October, sioni namna CCM watashinda uchaguzi huu. Hakuna!!
 
Tatizo siyo kuzimiwa sauti na picha tatizo Ni baadhi ya maneno yasiyo na sitaha kwa Taifa au personally yanayotoka katika vinywa vya baadhi ya viongozi wa CDM.

Kwa mjibu wa maadili ya vyombo vya habari hakuna chombo Cha habari kilicho tayari kurusha live Hotuba au mjadala uliojaa maneno yasiyo na busara ndani yake.

Nawashauri nyie wanasiasa tunapowapa fursa ya kuongea kwenye media zetu jaribuni kutumia maneno yenye sitaha ili kulinda maadili ya media zetu, nyie ni wapitaji tu Ila Kuna kundi kubwa la watu wanaotufatilia wenye hekima na busara zao.

Je, hizo platform mlizoanzisha nazenyewe mtakuwa mnaweka Hotuba Tata na maneno machafu ya baadhi ya viongozi wenu?
Mbona wanarusha unyanyasaji wa yule mtu akiwa juu ya gari?
 
Back
Top Bottom