Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Ili kuhakikisha elimu bure kwa shule za serikali, serikali hutoa fedha ili kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa. Kwa data za TAMISEMI, shule ya Msingi Matambwe iliyoko Wilaya ya Morogoro, tarafa ya Kisaki, ilipokea Tsh 56,787 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Shule hii ina jumla ya wanafunzi 18 kuanzia la kwanza hadi la saba na mwalimu mmoja.
Shule nyingine iliyopokea hela ndogo ni Shule ya Msingi Kikoboga ambayo ilipata kitita cha 69,132 kwa mwaka 2024/25 wa fedha. Shule hii ipo Wilaya ya Kilosa, tarafa ya Mikumi. Hii ina jumla ya wanafunzi 10 na walimu 7 kwa kuanzia darasa la kwanza hadi la saba.
Twende kwenye shule nyingine kwa haraka haraka kuokoa muda, hii ni shule ya msingi Sikula, ambayo iko Kilindoni, Wilaya ya Mafia mkoani Pwani. Hawa walipewa kitita cha Tsh 73,198 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Hii inawanafunzi 41 kuanzia la kwanza hadi la saba na walimu wawili.
Achana na hizo kuna hii, Shule ya Msingi Klenk, ambayo iko Reha, Wilaya ya Rombo, hawa walipata 100,557 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Hawa kwa mwaka 2025 hawakuwa na wanafunzi ila kuna walimu wanne.
Tumalizie ya mwisho ni-logout. Hii ni shule ya msingi Buyuni iliyoko Mkwaja, Wilaya ya Pangani, Tanga. Hawa walipata kitita cha Tsh 106,841. Hawa wana wanafunzi 26 kuanzia la kwanza hadi la saba na walimu watatu.
Baada ya shule hizo karibu kuangalia orodha ya shule zilizopokea fedha nyingi kwa mwaka wa fedha 2024/25
Shule kumi zilizopata hela nyingi
Shule kumi zilizopata hela chache.
Data Source: Home
Shule nyingine iliyopokea hela ndogo ni Shule ya Msingi Kikoboga ambayo ilipata kitita cha 69,132 kwa mwaka 2024/25 wa fedha. Shule hii ipo Wilaya ya Kilosa, tarafa ya Mikumi. Hii ina jumla ya wanafunzi 10 na walimu 7 kwa kuanzia darasa la kwanza hadi la saba.
Twende kwenye shule nyingine kwa haraka haraka kuokoa muda, hii ni shule ya msingi Sikula, ambayo iko Kilindoni, Wilaya ya Mafia mkoani Pwani. Hawa walipewa kitita cha Tsh 73,198 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Hii inawanafunzi 41 kuanzia la kwanza hadi la saba na walimu wawili.
Achana na hizo kuna hii, Shule ya Msingi Klenk, ambayo iko Reha, Wilaya ya Rombo, hawa walipata 100,557 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Hawa kwa mwaka 2025 hawakuwa na wanafunzi ila kuna walimu wanne.
Tumalizie ya mwisho ni-logout. Hii ni shule ya msingi Buyuni iliyoko Mkwaja, Wilaya ya Pangani, Tanga. Hawa walipata kitita cha Tsh 106,841. Hawa wana wanafunzi 26 kuanzia la kwanza hadi la saba na walimu watatu.
Baada ya shule hizo karibu kuangalia orodha ya shule zilizopokea fedha nyingi kwa mwaka wa fedha 2024/25
Shule kumi zilizopata hela nyingi
Halmashauri | Jina la Shule | Jumla |
| Temeke MC | MBANDE | 40,714,109 |
| Temeke MC | MSUFINI | 38,500,789 |
| Temeke MC | CHAMAZI | 34,000,859 |
| Arusha CC | MURIET DARAJANI | 33,076,991 |
| Temeke MC | MAJIMATITU | 31,657,818 |
| Temeke MC | MBAGALA KUU | 29,041,915 |
| Geita DC | IBOZYAMAGIGO | 27,634,341 |
| Geita DC | NTINACHI | 27,602,916 |
| Dar es Salaam CC | KIMWANI | 26,873,878 |
Shule kumi zilizopata hela chache.
Halmashauri | Jina la Shule | Hela iliyopewa | |
1 | Morogoro DC | MATAMBWE | 56,787 |
2 | Kilosa DC | KIKOBOGA | 69,132 |
3 | Mafia DC | SIKULA | 73,198 |
4 | Rombo DC | KLENK | 100,557 |
5 | Pangani DC | BUYUNI | 106,841 |
6 | Makambako TC | IKELU.B | 142,964 |
7 | Siha DC | NURU ENGLISH MEDIUM | 157,120 |
8 | Bagamoyo DC | KALIMENI | 165,920 |
9 | Makambako TC | KIBEDANGE | 179,486 |
10 | Mvomero DC | WAMI VIJANA | 182,259 |
Data Source: Home