S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,642
- 32,837
Eti serikali iwatapishe chips alafu iwalishe tembele. Inawezekana kweli?Serikali ifanyeje sasa?
Eti serikali iwatapishe chips alafu iwalishe tembele. Inawezekana kweli?Serikali ifanyeje sasa?
mimi nimeishi arusha na mbeya tuPita mitaa ya sinza halafu nionyeshe mahali pana chips dume
Nipo arusha. Hakuna chips dume kila mahali. Ni za kutafuta sana. Tunakula wote chips mayai tunawaonamimi nimeishi arusha na mbeya tu
ila kiujumla ke mnapenda sana vyakula holela, mazoezi na kazi ngumu hampendi
wanaume shida yetu ni pombe
Njichokie.Nipo arusha. Hakuna chips dume kila mahali. Ni za kutafuta sana. Tunakula wote chips mayai tunawaona
Unakubali kua junk food ina madhara?Elimu inatolewa kwenye Tv kuna makala za afya kila siku. Dr janabi nae anasaidia...
Serikali ishindwe kupiga marufuku utengenezaji na uvutaji wa sigara ambao madhara yake yapo wazi wajikite kwenye chips mayai kweli?
Nakubali.Unakubali kua junk food ina madhara?
Ipige marufuku tuSerikali ifanyeje sasa?
Labda ipige marufuku kilimo cha viazi na ufugaji wa kukuIpige marufuku tu
Hii ngoma hata ukirudi usiku saa sita atakula tu.Unaijua chips kavu lakini? Yenye ukwaju, kapilipili, kitimoto, mishikaki, salad? Ni moto wa kuotea mbali.
Chips live long mwaya 🤣🤣
Viazi visikosekane shambani
Mafuta yasikosekane dukani
View attachment 2924286
Anataka serikali itupangie cha kula, nadhani muhimu Kila familia iwe na ratiba za chakula zenye chakula boraSerikali serikali nyoo 🤧🤧 Jiongoze
Hii ndio akili kubwa tunazozihitaji kama taifa.Chips na mayai ni combination nzuri zaidi kuliko atakayekula ugali na maharage.
Ndio..
Viazi ni wanga na ni easy kuwa digestible kuliko ugali wako mgumu.
Mayai hasa ya kienyeji yanavirutubisho vingi.. pia umegusia kuwa hawali mboga za majani.
Tunarudi jikoni, chips yai kuna ubunifu wa kutiwa carrots na hoho ambazo hazikwivi sana. Pia Kachumbari inayofata huwa ina mchanganyiko wa carrots, tango, vitunguu bila kusahau vikorombwezo vingine kama Mayonnaise, ukwaju, Tomato etc..
Nachelea kusema wanapata chakula Bora sana.. tatizo ni UBORA wa maandalizi ya upishi, na materials hasa MAFUTA.
Na ukila hv Hips lazima ziwatoke watoto wa kike!?Unaijua chips kavu lakini? Yenye ukwaju, kapilipili, kitimoto, mishikaki, salad? Ni moto wa kuotea mbali.
Chips live long mwaya 🤣🤣
Viazi visikosekane shambani
Mafuta yasikosekane dukani
View attachment 2924286
Kila mtu ashinde mechi zake wazungu mamiaka mengi wamekuwa wakishindia mikate tu wanabadili majina tu sijui pizza, baga sijui nini ila ni mikate tu na wapo miaka nenda rudi.Uchunguzi wangu huru umeonesha akinamama na mabinti walio wengi wamekuwa wapenzi wakuu wa kula viazi vya kukaanga vinavyochanganywa na mayai maarufu kwa jina la chips mayai.
Ukitaka kuhakikisha hili wewe ingia sehemu yoyote ya kula na uchungulie mezani vilivyoagizwa, utaona asilimia kubwa ya akinamama na mabinti ni chips mayai na wengine wanaongezea nyama choma au mishikaki na wengi wao unakuta hawapendi mboga za majani.
Lililo wazi ni kwamba watu hawa hawali chakula bora. Na kama hata huko majumbani kwao wanakula hivi basi kama taifa tuna janga kubwa kwa kizazi cha huko mbeleni maana hawa ndo mamazetu wa sasa au baadaye.
Sasa kwa ulaji huo tutakuwa na kizazi cha namna gani hapo baadae. Wizara ya Afya Tanzania angalieni jambo hili kabla hali haijawa mbaya.
Halafu tusile pilau la kuku na viazi au ni roho mbaya tu imekujaa☺️Labda ipige marufuku kilimo cha viazi na ufugaji wa kuku
Kwamba chips ndio zinaongeza utamu??? Hahahaha... Mie sipendi chips asee napenda ugali ndio nashiba 🤣🤣🤣🤣🤣🤠
Ugali mkubwa na kuku mzima...Kwamba chips ndio zinaongeza utamu??? Hahahaha... Mie sipendi chips asee napenda ugali ndio nashiba 🤣🤣🤣🤣🤣🤠