Umehakikisha ukweli wa hiki ulicho kiandika ?Hivi unafahamu kwamba annual budget ya NASA ni 22,000,000,000 dollars?
Hiyo ni 22 US billion dollars sawasawa na trilion 45 za kitanzania.
Lakini hii si hoja ya kuonyesha ya kuwa wao wako sahihi wakati wapo kinyume na uhakisia. Huu ujinga waambie wenzako mnaopenda ngano za visasili vya Wanasayansi. Sisi huko tushatoka zamani na sasa tuna hoji uhalisia.
NASA si ndiyo hao hao waliosema ya kuwa kuna mtu alienda mwezini ? Hizi filamu endeleeni kuziamini nyinyi msiofikiria mambo na kuhoji.Na hili andiko halijaandikwa na NASA bali limeandikwa na mtu mmoja mwenye uelewa hafifu na haya mambo hivyo bila shaka hawezi kujua chochote kuhusu jinsi gani NASA wamefanya mpaka kuja na majibu.
Mimi hata aje nani katika hao mabingwa mnao waamini nikimuuliza maswali yangu hawezi kujibu.
Wewe unajua wamefanyaje mpaka wakaja na majibu ? Tuambie.
Googke ni mfumo na Wikipedia kadhalika waendeshaji ni watu kama mimi au wewe wana madhaifu kibao ndiyo maana sisi tunarudi kwenye asili. Sisi tunahoji mambo katika uhalisia leo hii huwezi kuniambia eti jotoridi la jua ni kiasi fulani wakati hujui jua ni nini au imekuwaje likawa hivi kilivyo bali hata kukifikia huwezi na ni muhali au kipenyo cha dunia ni kadha au uzito wa jua ni kadha wakati mchakato wa upimaji uzito tunajua ukoje na wewe huna uwezo wa kufanya hivyo.Usitumie google bali jifunze kutumia WIKIPEDIA, kule kuna majibu yote kama utakuwa na kichwa cha kuelewa kilichoandikwa.
Sayansi inakumbwa na tatizo kubwa na la siku nyingi la KUHITIMISHA mambi yao,hapa utakutana na "Assumptions" nyingi katika kanuni tunasema hivi ukiona sehemu kuna "Assumptions" nyingi ujue ukweli wameshindwa kuupata wakaweka uongo ili kukidhi haja zao.
Safi kabisa maswali ya kitoto ambayo wakubwa zenu wameshindwa kuyajibu.Otherwise you're manchild asking childish questions.
Shukrani.