Salam kwenu nduguzangu, naombeni kufunguliwa macho mana nahisi mapenz yamenifumba macho. Mimi nina mpenz wangu tuna kama 2years now,lakin miez miwili ilopta mwenzangu anabadirika na sikuzinavozidi kwenda nazidi kupokea vituko,mwez flan alikua hataki labsa kufanya mapenzi na mm akidai mazoez yanamchosha sana,lakin badae akabadlika zaid akaanza kurud sa8,9,hadi sa10 usiku/alfajir na haitaji kufanya mapenz akidai anamawazo sana yanmpotezea hamu na uwezo wa kumudu tendo,,mwez kama m1 nilisafiri nikakaa wiki1 nikiwa huko nampigia simu hakuwahi pokea nimerudi nimekaa nae kama siku3 nikaona kama namkera flani..nikarudi hostel nikiwa nampigia hapokei wala hakuwa na muda wakuuliza y umeondoka au njoo home,zimepta kama wiki2 hapokei simu hapgi wala hajibu msg nikafanya kukubari kuwa nimechokwa namimi nimuache nimekaa wiki1 bila kumpgia na yeye hakujaribu kunipgia,juzi nikasema nimshitukize nikaenda kwake usiku saa4 nikamkuta kalala pekeake jana akanipgia akanambia nije tuongee tuyamalize nimefika yy kaenda kuoga nikashika simu yake naona msg za mwsanamke naemfahamu na yy ananifahamu akisema baby nahisi ninamimba,na msg za ex gal wake akisema nakupa lakini roho inaniuma bado nakuitaji,,,mwenzangu kawa mkali hatak kuongea lolote kuhusu wanawake hao,,leo kano drop hostel akanambia hatokuja kunichukua so niwahi kurud kwake mwenyewe, saa11 jion kanipigia kaniuliza nije nikuchukue sangap nikasema hata sasa mm nikotayari akadai atakuja sa2usiku mana anakazi anataka kufanya,mim roho iligoma kabsa nikacgukua tax nimekuja kwake na sijamwambia kama niko kwake nimempgia anasema kama naweZa niende kwake yeye anaratiba ndefu nikamwambia siwez basi tutaonana kesho,saiz nampgia hapokei nimempgia mwanamke aliesema anamimba nae hapokei,,na nimembana houseboy wake kasema majuz ndo alikuja na mwanamke,,,jaman nifanye nini naomben msaada wa mawazo yenu