Nimejikuta ninamsikiliza huyu mbunge, kwanza nawasikitikia waliompigia kura. Ameonyesha kuwa anaguswa sana sana kwenye maslahi na anasaga meno awamu hii.
Kweli mbunge anapewa dk zote anazunguka weeeeee, halafu anadai yeye sio muoga ha ha ha haaaaaaa...wewe ni muogaaaa, hata ukitaka wwngine wajitokeze ha ha haaaaa awamu ya tano sio za kabla eeeh
Kazunguka weeee, ndani ya dk1 nikaamua nimsikilize zaidi nione kama nitashushuka. Kwa kujiambia kuwa lazima anataka kuwaongelea viongozi wetu waleeee si mnawajua wachapa kazi eeeeh wawanaotujali wananchi.
Ha ha ha haaaaaa, nyoka watazidi kutoka pangoni. Ameongeaaa weeee hata kusema angependa ili au lile lifanyike hajaweza kwa uoga anajua atashushuka... kwa sababu Raisi hasikilizi hao wanaosaga meno wadaku. Amejitia aibu zaidi... eti sio muoga halafu akaongeaaaaaaaaaaaaaaaa weeeeeeeeee bila lolote only... eeeeeeeeh
Aliyoyaongea wakisikia wapiga kura wake watalia....kimombo chote sijui kilugha mwisho porojo tu. Watamuuliza mbona na wewe hautuwakilishi bali umedandia kicosta kibovuuuu kinachopata pancha kila dakika chenye madereva wengiiii na mmekaa ndani mnahema hema tu na kulialia kwa uoga hamuaminiani sababu mu wa vyama tofauti hata wa wale wachache wa kinachotawala... huku mnaisoma namba na kusaga meno mkijaribu kulifikia lori kumuomba dereva wa lori apaki pembeni, ili mumuombe aache kuendesha lori lake kwa sababu spidi yake imevunja rekodi na hata kuiba kazi awamu hii.
Ni vizuri kabisa kabisa kuwa NO bunge live irudishwe eeeeh....wamejaa misifa kutaka kutafuta kiki wakijua watakuwa live. Hawafikirii juu ya majimbo yao bali kupigania uovu . Vikiwemo upngozi bora mzuri na madawa ya kulevya mjini Dar na mikoa mingine wanapofata alichoanzisha Mh. Makonda. Shukurani kwake aliyeanzisha vita hiyo inazaa matunda nchini. Wabunge wana njaa na akili za hata kujifanyia biashara hawana, inabidi wabadilike hatutaki porojo. Mbunge anaongelea TISS haulizi hata makosa ya watu, anasema tu eti sijui nini nae aongeee tu... kesho ISIS wakitinga nchini na kufanya yao mtasema walilala...mnasahau yaleeeee ya ubalozi wa Marekani na walikuwa wafuasi wa nani...huu ni mfano tu mdogo
JPM hata hiyo live ya saa moja au vipi, naona iondoe tu. Na ile ya marudio iwekwe bila wabunge kujua kama watarushwa au la, bali hoja za maendeleo na kujadili ya nchi na wananchi na maendeleo pia ndio vionyeshwe tu na sio udaku. Hayo ma blah blah blah wasionyeshe, ndio hawa wabunge watafuta sifa wataacha kupoteza muda wa bunge kwa hoja za kulialia.. kisa wivu uamewajaa na kutaka kuvuruga amani nchini.
Hapa kazi tu