Hakuna uvamizi uliofanyika popote na wanateka watu wanaendelea kutafutwa na vyombo vya dola.Wewe ndio kilaza wa mwisho kufuata sheria ni kutochukua hatua stahiki kwa wanao teka na kuvamia watu?? Wajinga wengi
Hakuna aliyejuu ya sheriaKama hizo sheria zinafuatwa hakuna tatizo. Sheria zipo kwa ajili ya viongozi na wasio viongozi. Wote twapaswa kuwa watiifu kwa sheria za nchi.
Kiingereza ni Lugha nisiyoimudu vizuri. Niwie radhi kama hautanielewa ingawa kule kwingine tunaelewana. Ombwe ni utupu ama kwa lugha hiyo ni "Vacuum". Utupu si kutukuwepo kwa kitu bali ni kutokuwepo kwa kitu cha kujaza mahali ambako pako. Uongozi wa kisiasa nchi mwetu ni mfumo unaoratibishwa na Katiba na Tamaduni zetu za kisiasa.**** watu wanaongea/andika kama wehu. Allen unatakiwa ku-define maneno Ombwe na uongozi, halafu uelezee phrase, ombwe la uongozi labla ya hiyo mifano yako inayobainisha kuwa huna conceptual clarity ya hoja unayoijadili.
Ndugu, ni wazi unachanganya kati ya state of incompetence na vacuum. Again, you seem to discuss your personal perception in contrast with real world (Tanzania). The Government with respect to humanware, software, hardware and organoware is in full control of the state. No vacuum but one may trace some incompetence here and there as isolated cases, which shouldn't be construed as general situation. You need to be objective.Kiingereza ni Lugha nisiyoimudu vizuri. Niwie radhi kama hautanielewa ingawa kule kwingine tunaelewana. Ombwe ni utupu ama kwa lugha hiyo ni "Vacuum". Utupu si kutukuwepo kwa kitu bali ni kutokuwepo kwa kitu cha kujaza mahali ambako pako. Uongozi wa kisiasa nchi mwetu ni mfumo unaoratibishwa na Katiba na Tamaduni zetu za kisiasa.
Tunapokuwa mpirani halafu timu yetu ikafungwa magoli 10 kizembe, tutasema hatuna Kipa, lakini kimantiki si kwamba Golini kutakuwa hakuna Kipa, bali tutasema hatuna kipa kwa kuwa kipa alieko hakidhi vigezo vya kuwa kipa. Hapo kutakuwa na Ombwe la Kipa!!
Kama Katiba inatoa nafasi ya Bunge kuisimamia Serikali la Bunge halifanyi hivyo, basi hilo ni Ombwe la Uongozi. Kama Katiba inampa Rais Mamlaka ya kuwaondoa watu waovu kwenye mfumo wa serikali na afanyi hivyo, hilo ni Ombwe la Uongozi.
Ukiona kuna Bunge la Bajeti na sheria inataka serikali itumie hela zilizopitishwa kwenye Bunge la Bajeti, lakini serikali inatumia hela "inavyotaka" na Bunge halifanyi chochote, hilo ndilo Ombwe la Uongozi.!
"Conceptual Clarity" ndiyo uelewa wa hoja au dhana au ni unyoofu wa hoja ama dhana?
"Personal Perception" ndiyo chanzo cha fikra na falsafa. Wewe kama unaona kuna "Incompetence" mimi naona kuna "Vacuum" kwani si tu kwamba wanashindwa kutenda bali pia huwa wakitenda wanaonekana kama hawajatenda kwa hutenda visivyotakiwa kutendwa. Jaribu kujenga hoja achana na "Character Assassination".Ndugu,, ni wazi unachanganya kati ya state of incompetence na vacuum. Again, you seem to discuss your personal perception with real world in Tanzania. The Government with respect to humanware, software, hardware and organoware is in full control of the state. No vacuum but one may trace some incompetence in isolated cases, which shouldn't be generalised. You need to be objective.
Acha kuonyesha ujuha wako hadharani na kuidumaza akili yako. Mwinyi ambaye aliwahi kuwa Rais na Mwenyekiti wa CCM alisema nchi inaendeshwa kama gari bovu halina sukani. Aliyewahi kuwa Jaji Mkuu na Waziri Mkuu wa Tanzania pia alitamka kwamba nchi imepoteza mwelekeo. Kinana pia juzi juzi katamka haya. Hebu acha kujitoa ufahamu na kujifanya hamnazo ili uendelee kutetea uozo wenye madhara makubwa kwa Tanzania na Watanzania.
Haifuti ukilaza wako mkuuHakuna uvamizi uliofanyika popote na wanateka watu wanaendelea kutafutwa na vyombo vya dola.
Labda kama unawajua wanaoteka watu na ushahidi unao basi peleka taarifa Central Polisi ili watiwe nguvuni na kufunguliwa mashtaka
Kama wenye akilo ndio wana mawazo kama haya kweli bora kuto luwa na kichwa kabisaWenye akili tumeshajua wanamhujumu jpm na kwa mtindo huu CHADEMA mtabaki kupata kura za maboda boda tu ila wanaojielewa tumeshawajua kuwa nyie ni ma Potensial fisadi na ndio maana mmenunuliwa na LOWASA
Unaandika Lugha gani jitahidi kupitia unachokiandika kabla ya kupost itanisaidia kujua nachat na raia mwenye akili level gani?Kama wenye akilo ndio wana mawazo kama haya kweli bora kuto luwa na kichwa kabisa
....Kwa hiyo for the past 50 yrs hii nchi haikuwa na serikali kama somalia? Si mnatuambia kuwa chama kikongwe Afrika kipo hapa?Hakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Wenye akili tumeshajua wanamhujumu jpm na kwa mtindo huu CHADEMA mtabaki kupata kura za maboda boda tu ila wanaojielewa tumeshawajua kuwa nyie ni ma Potensial fisadi na ndio maana mmenunuliwa na LOWASA
Nchi ingekuwa na hicho unachokiita 'ombwe' wala usingekaa na familia yako sahivi mnawasha TV zenu, mnakula, mnatembeleana na kwenda na kurudi makazini salama. Unaweza ukasema wewe huridhiki na jambo fulani tukakuelewa na kulijadiri ila si kusema ombwe. Na katika uongozi ni lazima wa kupinga kama wewe wawepo, na wewe kutokuridhika hakuhararishi kwamba kila mmoja haridhiki. Inategemea huridhiki kwa lipi na kwa nini, sababu zingine zaweza kuwa ni wewe mwenyewe kutokujiweza ama mvivu, mzembe ama mlalamishi tu. Wengine baada ya maovu yao kuwekwa kweupe ndo wanalalamika kwa kila staili.
Heeee kwa hiyo sasa hivi katiba inafuatwaHakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Hakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.